Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,754
- 26,021
Hao ndo Arsenal walikuwa wanawahitaji ila Paratici ameharibu mipango.Walipeleka ofa kwa mchezaji ambaye amesema wazi hana interest na Arsenal. Baada ya kukataliwa plan B ilikua ipi? Anahitajika mid wameenda kwa Melo ikawa Juve wanarefusha makubaliano.
Kwanini hakukua na plan B ya Mid na wala ya ST?