Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Walipeleka ofa kwa mchezaji ambaye amesema wazi hana interest na Arsenal. Baada ya kukataliwa plan B ilikua ipi? Anahitajika mid wameenda kwa Melo ikawa Juve wanarefusha makubaliano.

Kwanini hakukua na plan B ya Mid na wala ya ST?
Hao ndo Arsenal walikuwa wanawahitaji ila Paratici ameharibu mipango.
 
Naona tumesajili CB. Ila atabaki mpaka msimu uishe.

Angekuepo Saliba nafikiri Saliba na Gabriel wangebaki nyuma na White angepanda awe mid.

Kwa sasa najaribu kupata picha kikosi kitakuaje bila mid na forward ila sielewi
Hatuna mid kivipi?

Lokonga, Partey, Elneny, Xhaka?
 
The deal was the best thing to ever happen to Aubameyang. Arteta, the board, and Edu, thank you for always successfully disappointing yourselves. Wenger right now will be pleased to see you guys destroying all he has worked so hard for.
Arsenal now fear Tottenham, and asked for match postponement. They can't score Burnley. In January, only one goal was scored by Saka.
The new abnormal!
 
When you thought you had a chance to finish Top 4

Someone comes from nowhere and says ,Let save 300k per week by selling Auba and forget about UCL ,,,,,we will continue with the process next season
 
Mimi sio mchawi ...

Lakini nasema hivi mnaona hio nafasi mlipo ,hamtakanyaga top 4 Tena hata ndani ya dakika tano ....

Sioni kabisa hii arsenal ikikaa hata nafasi ya 5 au 6
 
Mimi sio mchawi ...

Lakini nasema hivi mnaona hio nafasi mlipo ,hamtakanyaga top 4 Tena hata ndani ya dakika tano ....

Sioni kabisa hii arsenal ikikaa hata nafasi ya 5 au 6
Mkuu ungetoa hizo emoji za kucheka, maana wanaweza kuhisi unafanya utani wakati hii issue ni serious
 
hiii timu bana vichekesho sana ,hawaishiwi maneno karibuniii chama la wahunii tuvute shisha
 
You mocked Tomiyasu bro, you said he was not quality, Au sio wewe
Una mention hao midfielders seriously??Lokonga is Rubbish tumejionea ,Xhaka ni Rubbish ,Elneny ina depend ameamkaje na his family yupo 50 kwa 50 but only Partey angalau sema naye ni pancha kwa sasa so it means Arsenal ina Partey ambaye kufanya makosa huwa ni nadra and akiumia means tunakuwa hatuna viungo tena Lokonga Elneny even Xhaka hawawezi kuingia katika first eleven any team kwa ambazo zipo Top 8 hawapati namba
Unasema I used to mock Tomiyasu bro you are wrong
 
Una mention hao midfielders seriously??Lokonga is Rubbish tumejionea ,Xhaka ni Rubbish ,Elneny ina depend ameamkaje na his family yupo 50 kwa 50 but only Partey angalau sema naye ni pancha kwa sasa so it means Arsenal ina Partey ambaye kufanya makosa huwa ni nadra and akiumia means tunakuwa hatuna viungo tena Lokonga Elneny even Xhaka hawawezi kuingia katika first eleven any team kwa ambazo zipo Top 8 hawapati namba
Unasema I used to mock Tomiyasu bro you are wrong
mid zetu zote zimeshiba na tunaziamini
 
(Winning Mentality) imempeleka Juventus
Screenshot_20220201-140854_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom