Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

You're the toxic Arsenal fan of all time, Don't complain like a little bitch.

Tryna handle your stuff MOTHERFUCKER!!!
Endelea kukalia Ncha ya Knife huku daily tunakataliwa na players kila kukicha
Screenshot_20220131-210638_Instagram.jpg

Chelsea wanamjasili Dembele soon kabla ya dirisha kufungwa
 
Usishughulike na wafanyakaz hoji integrity ya wamiliki kwa sababu arteta na edu ni waajiriwa wanaofata maelekezo ya boss
Mkuu ndio maana nimeanza na bodi kwasababu wao ndio Top decision makers.
 
Hivi board ya Arsenal pamoja na Edu wapo serious kweli?.

Leo ndo deadline ya transfer then till now hamna dalili zozote za kusajili mchezaji..
Edu ni mwajiriwa tu, kama hajapewa pesa unataka atoe za mfukoni mwake?
 
Edu ni mwajiriwa tu, kama hajapewa pesa unataka atoe za mfukoni mwake?
Mkuu,Edu kama Technical Director anatakiwa aikumbushe na kuisumbua board juu ya new transfers katika timu kwasababu Technically yeye ndio Master Plan.

Current tumeshindwa kupata matokeo kutokana na ufinyu wa kikosi chetu,Kitu ambacho kwa rivals wetu wa top4 kama Spurs, Chelsea na Liverpool hawana.
 
Mkuu,Edu kama Technical Director anatakiwa aikumbushe na kuisumbua board juu ya new transfers katika timu kwasababu Technically yeye ndio Master Plan.

Current tumeshindwa kupata matokeo kutokana na ufinyu wa kikosi chetu,Kitu ambacho kwa rivals wetu wa top4 kama Spurs, Chelsea na Liverpool hawana.
Mkuu, wenzetu hawafanyi kazi kwa "kukumbushwa na kusumbuana", haya mambo yapo huku kwetu. Walishaweka mikakati yao tangu kiangazi, hapa hata tujadili vipi wao wanajua walichopanga na wanachotaka kufanya, Edu alishasema...long term and short term plans za timu, unless kuwe na dharura.

Sisi tukae kwa kutulia tu na kusubiri maamuzi ya wenye timu yao.
 
Mkuu, wenzetu hawafanyi kazi kwa "kukumbushwa na kusumbuana", haya mambo yapo huku kwetu. Walishaweka mikakati yao tangu kiangazi, hapa hata tujadili vipi wao wanajua walichopanga na wanachotaka kufanya, Edu alishasema...long term and short term plans za timu, unless kuwe na dharura.

Sisi tukae kwa kutulia tu na kusubiri maamuzi ya wenye timu yao.
pamoja mkuu.
 
Arsenal have completed the signing of centre back Auston Trusty from Colorado Rapids. He will remain with MLS club on loan until the end of the season. #AFC

@ FabrizioRomano
 
Arsenal have completed the signing of centre back Auston Trusty from Colorado Rapids. He will remain with MLS club on loan until the end of the season. #AFC

@ FabrizioRomano
Colorado Rapids???mamamamamae Will Jr ona viongozi wako wametuletea defender ambaye hafahamiki katika football but let me ask you guys tulikuwa tunahitaji defender?usawa huu?I am done Goodnight
 
Naona tumesajili CB. Ila atabaki mpaka msimu uishe.

Angekuepo Saliba nafikiri Saliba na Gabriel wangebaki nyuma na White angepanda awe mid.

Kwa sasa najaribu kupata picha kikosi kitakuaje bila mid na forward ila sielewi
 
Wanangu wa arsenal, chama letu mbona linazingua sana

Nilikuwa nimepigwa Ban muda mrefu ndo maana nilikuwa nimepotea humu
 
Kwa mara ya kwanza naugundua uongo wa Fabrizio Romano, Auba kaenda Barcelona kusalimia familia yeye anaripoti kaenda kwa ajili ya Medical Tests
1643668352095.png
 
Back
Top Bottom