Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Isiwe kwamba timu ikifungwa tunaanza kushambuliana because I don’t call a spade a big spoon
Huko peke yako mkuu. Wenzako wapo ndio maana nkasema baadhi ya mashabikiSio baadhi ya mashabiki, be specific “me”
Isiwe kwamba timu ikishinda tu ndio yetu, ikifungwa ni ya kina CastrIsiwe kwamba timu ikifungwa tunaanza kushambuliana because I don’t call a spade a big spoon
Yule kocha wa Liverpool ni master!
TUISHIE HAPO.
Sasa Partey asipocheza na mid ikipwaya ni kosa la nani?Bado sikubaliani nawe mkuu.
Ni game tu tumetolewa basi. Partey huyo hapo sasa hata hiyo next game hachezi
Yeah ni kweli bado kuna big WIP kwenye timuKuanzia dakika ya 50 hata mechi yenyewe sikuiona walikata umeme huku nilikuwa nasikiliza audio commentary FotMob. All in all ukweli tuuseme. Bado kuna big WIP hapo arsenal.
And that is ok.Remember; Arsenal won't be winning a trophy this season.
Nadhani Gabriel hawezi kutupa tunachohitaji, ni wazi William Saliba anachukua nafasi yake next season.Na huyu beki wangu Gabriel sijui ataanza lini kujiamini maana anatushambulia sana na back pass zake. Anafanya mpaka Ramsdale ashindwe kupata muda mzuri wa ku distribute mpira mwisho tunajikuta tumepoteza.
Pale juu nimeona Comment yake 'itajulikana nani mwanaume leo'Sasa hivi washakuwa Idiot wetu, yaani wewe humo???

Hilo unalisema wewe sio Management ya ArsenalNadhani Gabriel hawezi kutupa tunachohitaji, ni wazi William Saliba anachukua nafasi yake next season.
4141 hiyo ni 433 LCM - ESR, RCM- MØ, lone 6 Lokonga.Sasa Partey asipocheza na mid ikipwaya ni kosa la nani?
Kutolewa kutaka. Una options kwanini usizitumie? First game you posed a threat with 4 2 3 1 leo unaenda na 4 1 4 1 huku DM Lokonga ambaye game ya ligi na Liva alifanya mistakes za goli.
So hapa tutafute mchawi nani wakati kila kitu kipo wazi? Edu na Arteta wameharibu timu na kutoa wachezaji bila kuleta wapya kwa wakati. Mechi za ligi zitaanza huku hakuna mchezaji amesajiliwa.