Mkuu top 4 mnaingia, acha uoga,raundi ya kwanza mmemaliza vizuri japo mlianza vibaya sana.lakini Baada ya kila timu kucheza na kila timu mkawa top 4 pale,inaonesha timu yenu ni nzuri.matokeo ya sasa hivi ni utofauti wa ratiba tu mwingine anapewa mechi ngumu mwingine mechi Za kawaida lakini mwishoni kina eleweka kama ulibaki ndani ya top 4 baada ya Mechi 19.
Unaweza kuona timu inaongoza Saizi lakini kuna timu bado hajacheza nazo akicheza kila mtu anarudi kwenye nafasi yake.
Chelsea wako wapi leo walioongoza ligi kwa point 4 mbele, baada ya mechi 19 yaani raundi ya kwanza walikuwa wameachwa point 7 na man city.