makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,512
Suala la kukaa na mpira nakubali. Ila kwa vile tuna Saka na Martinelli ambao ni ball keepers wazuri, mimi nlidhani tukipata goal getter itakuwa poa sana.
Namuona kama Ruud van nestelrooy kwa mbali
Usajili huwa ni kamari tu, torres katoka liver wa moto, kaenda chelsea ni mashuzi tu.Mimi sikukurupuka nliposema above all ningemchagua DCL.
Unajua kigezo chengine kikubwa ambacho Wengi tutakiruka hapa ni proven performer kwenye EPL. Hichi si kitu kidogo.
Nina wasiwasi asije akaja Dusan pale akafeli. Nakumbuka ya CRESPO na KEZMAN. okey utasema Chelsea ni Chelsea na Arsenal ni Arsenal lakini kuna kina HULK na wengine wengi.
So kwangu kama tutampata DCL atatufaa sana in the next 4to 5 years.
Sahihihaipaswi kutoa lawama kwa arteta ,ndio kikosi alichonacho ,timu inatakiw kusaji ,iwe n kikosi kipana chenye wachezaji bora kuanzia wnaoanza ad wal wanaotokea benchi.
Eti una mchezaji anaitwa sambi lokonga halafu unategemea kupata ushindi😂😂😂😂😂Carabao sijui FA wala hazipaswi kutuumiza kichwa
Inshu ipo kwenye ligi
Jpili tupo na spurs,
Xhaka ana covid
Nile yupo Roma
Partey na elneny wapo AFCON
Techinically safu ya kiungo itakua chini ya Sambi Lokonga
Tuseme AMEN
Eti una mchezaji anaitwa sambi lokonga halafu unategemea kupata ushindi😂😂😂😂Carabao sijui FA wala hazipaswi kutuumiza kichwa
Inshu ipo kwenye ligi
Jpili tupo na spurs,
Xhaka ana covid
Nile yupo Roma
Partey na elneny wapo AFCON
Techinically safu ya kiungo itakua chini ya Sambi Lokonga
Tuseme AMEN
Acha kujifariji basi.Chelsea awe title contender!!! 2021/2022!???Hii arse8 yetu lazima ibebe ligi maana tumepigwa na NotadamForest kwa makusudi ili tumkimbize city maana sisi ni taito kontendaaaaa
nakaziaHii timu kuanzia uongozi, benchi la ufundi, wachezaji mpaka mashabiki wana tabia za kimalaya malaya hivi
Unatafuta kujua kama watu wana lugha chafu vidoleni mwao au umeteleza tu kuandika huu uzi umeubandika!?Hii timu kuanzia uongozi, benchi la ufundi, wachezaji mpaka mashabiki wana tabia za kimalaya malaya hivi
Majadiliano na mtu ameweka matusi mbele ni kujipotezea muda. Maana hoja zikiisha ataishia kukutukana, jiepushe na hawa watuMzee mie sinaga hizo mambo, huwezi kufanya majadiliano na mimi basi acha tu.
Nimejaribu kumtahadharisha huwenda ni muungwana ameteleza, au kazoea kwa wengine.Majadiliano na mtu ameweka matusi mbele ni kujipotezea muda. Maana hoja zikiisha ataishia kukutukana, jiepushe na hawa watu
KivipiHii timu kuanzia uongozi, benchi la ufundi, wachezaji mpaka mashabiki wana tabia za kimalaya malaya hivi
Lukaku from everton to manureUsajili huwa ni kamari tu, torres katoka liver wa moto, kaenda chelsea ni mashuzi tu.
Lugha inayoudhi ni sehemu ya majigambo katika ushabiki wa soka. Ni rahisi sana walioshindwa majigambo kutafsiri maneno ya majigambo kuwa matusi au abusive language. Kama wewe huwezi ushabiki kwa nini upo huku?Moderator Maxence Melo
This is the second time tagging you here sorry for that, but it's either being active or restricting access to the thread for all those who are continuously using abusive, offensive and disrespectful acts.
Willian ondoa, hiyo haikuwa betting, Willian muda wake ulishaisha ninyi kwa ubishi wenu mkaingia kichwa kichwa tu hata baada ya kuwaonya kuwa ktk uzee wa Willian ukimpa mkataba wa muda mrefu ndio ataacha kucheza kabisa lakini hamkusikiaLukaku from everton to manure
Benteke from villa to liverpool
Andy Carrol from newcastle to liverpool
Sanchez from arsenal to manure
Fellaini from everton to manure
Maguire from leicester to manure
Willian fro chelsea to arsenal
Wan bissaka from palace to manure
USAJILI NI KUBET TU.
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app