Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimeona Arsenal na tetesi za usajili but nina shaka na Isack sio mbaya sana but style yake ya uchezaji napata shaka kama anaweza akawa mmoja wa best players wa kutupa 20 goals per season huyo wa Fiorentina(Dosan) for sure naona jina linatajwa sana but ntaenda ku review video zake nije na conclusion huwa sipendi kuargue kitu sikijui kabisa but may be humu Jukwaani kuna watu watakuwa wanajua ubora wa jamaa but for me simjui kabisa but up to now bado sijaona jina la player kwenye tetesi ambaye tunaweza tukasema this guy is good
Kuna wadau wanasema Arteta hana ushawishi kwa kupata best players ,yes I agree na nlisema ni mpaka Arsenal amalize top 4 na kuplay champions league otherwise hakuna mchezaji ambaye atakuja kwetu tukasema yes this is the best signing but tuendelee kuona this Jan itakuwaje na May Arsenal atamaliza position ipi but Arsenal needs more efforts kurudi Champions league yaani ni must otherwise tutakuja kuwa normal timu ambayo ipo kawaida and that's it
 
Nimeona Arsenal na tetesi za usajili but nina shaka na Isack sio mbaya sana but style yake ya uchezaji napata shaka kama anaweza akawa mmoja wa best players wa kutupa 20 goals per season huyo wa Fiorentina(Dosan) for sure naona jina linatajwa sana but ntaenda ku review video zake nije na conclusion huwa sipendi kuargue kitu sikijui kabisa but may be humu Jukwaani kuna watu watakuwa wanajua ubora wa jamaa but for me simjui kabisa but up to now bado sijaona jina la player kwenye tetesi ambaye tunaweza tukasema this guy is good
Kuna wadau wanasema Arteta hana ushawishi kwa kupata best players ,yes I agree na nlisema ni mpaka Arsenal amalize top 4 na kuplay champions league otherwise hakuna mchezaji ambaye atakuja kwetu tukasema yes this is the best signing but tuendelee kuona this Jan itakuwaje na May Arsenal atamaliza position ipi but Arsenal needs more efforts kurudi Champions league yaani ni must otherwise tutakuja kuwa normal timu ambayo ipo kawaida and that's it
Kama kawaida yangu nimeingia kuwaona Dusan(from Serbia) and Isack (from Sweden)hawa players wana utofauti sana kwa style yao ya uchezaji wapo poa wote but Arsenal fans nani kati ya hawa anahitajika?it will be foward ambaye ana style ya Isack au Dosan?Isack ana msaada mkubwa wa kuchezesha timu from behind but kwa Dosan yeye ni finisher zaidi je kwa uchezaji wa Arsenal kati ya hawa wawili nani atafit kwenye uchezaji?for the first time nimekosa jibu May be mtasaidia kujibu but yoyote kati ya hawa anaweza akafanya vizuri later on
 
According to @JacobsBen .. "I can confirm that Arsenal made an official offer to sign Fiorentina striker Dusan Vlahovic, worth 45 million + Torreira."


Image
 
Arsenal’s bid for Vlahovic is now concrete news. We really wouldn't go for a player that doesn't want to come here. I think Vlahovic’s agent is trying to get his client the best deal considering the number of clubs that are in for him. At least that's how I see it.


1641347930452.png
 
Arsenal have the strongest interest in Dusan Vlahovic. Fiorentina will to accept €70m + Torreira (€10m) but problem is player and agent demands. The other club interested is Barcelona. [
@tariqpanja
]

1641348578854.png
 
dusan ndio anaye hitajika arsenal kwa sasa "target man" atupe magoli tu basi, hayo mengine yatafanywa na madogo janja( saka, martinel, SR)
 
kwa modern football ,kucheza n striker ,timu pinzani inakuw rahis kufnya defensive work dhidi yako ,mikel akisajil attacker itakuw bora zaid kuliko striker!
 
🚨LATEST INFO: #Arsenal still trying to convince Dusan Vlahovic and his agents to move to North London. Arsenal are poised to meet the asking price, but player's agents are still playing hard ball. #AFC #TransferTalks #Transfer
 
Hertha Berlin centre striker Krzysztof Piatek now set to join Fiorentina, done deal. Agreement reached between the two clubs and personal terms agreed. 🤝🇵🇱 #Fiorentina

ARE YOU THINKING WHAT I’M THINKING??🤔🤔
 
🚨LATEST INFO: #Arsenal still trying to convince Dusan Vlahovic and his agents to move to North London. Arsenal are poised to meet the asking price, but player's agents are still playing hard ball. #AFC #TransferTalks #Transfer
I am against signing a player whose heart is not at the club. Dusan doesn't like to join Arsenal, why should we sign him?
 
I am against signing a player whose heart is not at the club. Dusan doesn't like to join Arsenal, why should we sign him?
Vlahovic could be a good point man, Isak isn’t a point man, I see him playing same role as martenelli, we need a point man with the physic. With a good deal he would come, Mbappe in Monaco told Webber he wasn’t gonna be avalaible for any transfer but when PSG tempted him, he left on that same transfer window. It high time we begin to understand that football is business for the team, not all ur players would be arsenal fans, just get them committed that’s all
 
Since Man city are also into him. It will be very hard for Arsenal. Same issue that happened with Locatelli wen juventus wea interested.
 
Vlahovic could be a good point man, Isak isn’t a point man, I see him playing same role as martenelli, we need a point man with the physic. With a good deal he would come, Mbappe in Monaco told Webber he wasn’t gonna be avalaible for any transfer but when PSG tempted him, he left on that same transfer window. It high time we begin to understand that football is business for the team, not all ur players would be arsenal fans, just get them committed that’s all
Agree, and I give you two examples, Dusan and Bernado Silva turned down Arsenal's offers not because they were not offered suitable offers (club and player), but it is because there are indispensable issues they considered and said NO. Imagine Messi or Mbappe playing for Newcastle or Burnley!!! the whole world will be surprised. What will happen? definitely we shall witness their forms waning and their names forgotten. It is from these reasons you need to know that players do not join clubs because a club have strong financial muscles. If that would have been the case Messi, Mbappe, Neymar would have been in China.
 
Usajili Updates: Arsenal wamtaka Vlahovic kabla ya msimu wa kiangazi.

Arsenal have made their move to sign Fiorentina striker Dusan Vlahovic

Dosan Vlahovic.

Huyu ndie new marksman wetu mtarajiwa.

Arsenal wanataka kumsajili mshambuliaji wa Fiorentina Dusan Vlahovic na huenda wakamtumia Lucas Torreira kuwa uwiano katika ada ya usajili.

Arsenal tayari wapo tayari kuondokana na mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang hivyo kuweka nafasi kwa Vlahovic ambae ana umri wa miaka 21.

Lakini taarifa kutoka kwa vyanzo vya habari kama gazzetta del sport cha Italia zinasema Arsenal wameweka mezani dau la kiasi kama Pauni 58.3m na wanataka kuzuia mchezaji huyo kwenda timu zingine kama Tottenham na Juventus ambao nao wameonyesha kumtaka mchezaji huyo mzaliwa wa Serbia.

Antonio Conte huenda akajaribu kumsajili mchezaji huyo mwezi Julai endapo Harry Kane atakwenda Manchester City.

Juventus wanataka kumuuza Matthijs de Ligt ili kuongeza fedha za kumsajili Vlahovic.

Arsenal tayari wameruhusu Ainsley Maitland- Niles kwenda Roma kwa mkopo na pia wapo tayari kusikiliza dau kwa wachezaji Pablo Mari na Calum Chambers huku Alexandre Lacazette na Eddie Nketia wakiwa tayari kuondoka mwezi Juni baada ya mikataba yao kumalizika ifikapo muda huo.

Lakini habari ingine kubwa ni kwa Arsenal kuhitaji huduma za mchezaji wa kiungo Phillipe Countinho ambae hajaweza kucheza mara kwa mara akiwa na timu yake ya Barcelona.

Msimu ulopita Coutinho alikwenda Bayern Munich kwa mkopo kisha kurudi Barcelona msimu huu wa 2021/22.

Wawakilishi wa Coutinho walisafiri kwenda London mwisho wa wiki ilopita kujadili suala la uhamisho wa mkopo wa Coutinho ambapo sauala la mpango yaani payment structure ndo kizingiti.

Hivyo wakuu, Arsenal imepania kuhakikisha inashikilia nafasi ya nne kwenye msimu wa ligi na ikiwezekana kusogea juu zaidi kwa kuwa na wachezaji muhimu kwa kuzingatia kwa wiki tatu hatutakuwa na Thomas Partey na Mohamed Elneny ambao wapo kucheza AFCON.

Hivyo "fingers crossed" Vlahovic na Coutinho waje Arsenal kuongeza nguvu itakuwa jambo la mbolea sana.

COYGs!!!
Sioni umuhimu wa coutinho, mtu ana miaka 29, smith rowe tu anaanzia benchi.. huyu ahangaike na dunia yake.

Nimepata taarifa captain fantastic(mchezaji wangu bora wa kiingereza) stevie gerrard kamtwangia simu aende aston villa
 
Hertha Berlin centre striker Krzysztof Piatek now set to join Fiorentina, done deal. Agreement reached between the two clubs and personal terms agreed. #Fiorentina

ARE YOU THINKING WHAT I’M THINKING??
Huyu piatek analijua goli huyu.
 
Back
Top Bottom