Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,500
- 6,458
One of the most complete finisher, Sema amekosa bahati ktk maisha ya sokaHuyu piatek analijua goli huyu.
One of the most complete finisher, Sema amekosa bahati ktk maisha ya sokaHuyu piatek analijua goli huyu.
Kwenye maisha bahati ni kitu muhimu saana, kuna wakati unaona fulani anajua saana lakini mbona inakuwa hivi au vile, kuna yule douglas costa aisee ni hatari mnoo, nilikuwa natamani saana kumuona pale epl na jezi ya arsenal lakini wapi, saa hizi yupo kwao huko brazil.One of the most complete finisher, Sema amekosa bahati ktk maisha ya soka
Fiorentina wamesajili ST kutoka LilleHertha Berlin centre striker Krzysztof Piatek now set to join Fiorentina, done deal. Agreement reached between the two clubs and personal terms agreed. 🤝🇵🇱 #Fiorentina
ARE YOU THINKING WHAT I’M THINKING??🤔🤔
Bora iwe hivyo, luiz wa villa,neves,sanchezElneny Afcon
Partey Afcon
Niles Roma
Wanabaki Xhaka na Lokonga.
Nafikiri atasajiliwa CM haraka kuliko ST
Good decision ...welcome to the gooners ..🚨Breaking news: Fiorentina striker, Dusan Vlahovic wants to join a club where his development can flourish and a club with ambition, he likes the project at #Arsenal where young player gets the opportunity to further develop, he also mentioned that Arsenal is a massive football club and join a club like Arsenal will be a step in the right direction for any young player. #COYG
Dominic Calvert-LewinThe striker options Arsenal are currently looking at…
1) Alexander Isak (22)
2) Patrick Schick (25)
3) Jonathan David (21)
4) Dominic Calvert-Lewin (24)
5) Ollie Watkins (26)
6) Dusan Vlahovic (21)
7) Ivan Toney (25)
If you could only sign one this month, who are you choosing?
Kwahiyo Tierney unataka apigwe benchi??Emile Smith Rowe was an outstanding performer until Arteta suddenly started to sub him off. He must immediately find a way to keep Emile Smith Rowe and Martin Odegaard in starting 11 together. He must try Tuchel formation (3-4-2-1). Both of them would be very explosive behind the striker on 3-4-2-1 formation.
BACK THREE
Tomiyasu Ben White Gabriel
MILDIFIEDERS
Saka Partey Xhaka Martinelli
ATTACKING MILDIFIEDERS
Odergaard Smith-Rowe
STRIKER
Alexander Lacazete
Just thoughtKwahiyo Tierney unataka apigwe benchi??