Nilivyomuona kwenye First 11 nikasema Arsenal wanalo leoNilisema mapema madness za Xhaka
Mmeonewa?Mamamamae EPL inaanza kukosa mvuto hata Marefarii wana Bet miaka 5 ijayo EPL itageuka kuwa kama Seria A au La liga
Penalt halaliMamamamae EPL inaanza kukosa mvuto hata Marefarii wana Bet miaka 5 ijayo EPL itageuka kuwa kama Seria A au La liga
Tutazidi kumtetea tuuHaya wale wa kumtetea Xhaka nawasubiria mechi ikiisha salama
Yes penalty ni halali... Hata ile faulo ambayo imepelekea red ni ya kujitakia.Penalt halali