Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya wale wa kumtetea Xhaka nawasubiria mechi ikiisha salama game kubwa kasababisha penalty na yellow card kwa Gabriel haya waleteeee
 
Asani-Ali kipindi cha kwanza mmecheza mpira ila kipindi cha pili naona mnacheza rede, shauri yenu mkifanya mtachezea nyingi.
 
Back
Top Bottom