joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,855
- 39,559
COYG đź’Ş.Mungu wa City ndiye Mungu wa Arsenal .
Nitoleeni hiyo Liverkuku nafasi ya 3...Usijifanye unatujua
With this performance... Yes mnaweza kutusumbua.Top three nipo mwaka huu,,,,
Hahahaha ila kuna mda mmewapigia city nusu uwanja hadi sio poa.....its lovely to see ... imagine kocha anapewa mil 400 over two windows ajenge timu zaidi.....First half city hawana shot on target
Kipindi cha kwanza Asani-Ali mmeupiga mwingi sana, ngoja kipara akawafokee wachezaji wake halafu tuone kipindi cha pili watakuja vipi.This is Arsenal football club big giant in the world inatakiwa unacheza na Mkubwa mwenzio unamuonyesha umwamba second half tukaze namna hii tutambe mtaani hichi ndio kilio cha real fans wa Arsenal hutakiwi kuwa mnyonge every time ukiwa una play na Mkubwa mwenzako very excellent performance in the first half second half tukaze namna hii
Unapata tabu bure mkuu.Naona tumefukia Kutukanana!?
Nitapynzika kwenye huu uzi kwa Muda Kuwapisha walioamua luunajisi waendelee kunajisiana kwa matusi.
Asanteni watu wa mpira msiojua staha na guraha ya Mpira bila Matusi.
Kila la kheri
Ila jamaa ni kiazi sana, "eti wanaweza kuwasumbua" we subiri Liverpool akubatue urudi kwenye nafasi unayistahiliWith this performance... Yes mnaweza kutusumbua.



Liverpool namgonga kesho we subiri.Ila jamaa ni kiazi sana, "eti wanaweza kuwasumbua" we subiri Liverpool akubatue urudi kwenye nafasi unayistahili![]()
'Inefika' ndio nini? Hebu tulia kwanzaNyinyi kunguni Arsenyeto huwa mnasumbua sana kwenye jukwaa la the blues.
Siku yenu ya kunyolewa inefika leo.
Natamani sana City afungwe lakini siwezi kujiombew ugonjwa wa moyo.
Acha mpigwe tu, Ng'ombe nyinyi.
Without who?One of the best first half I have seen against City by any team.. Amazing energy amazing dedication.. Without Auba we are so much more energetic and positive in attack..