42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,836
- 8,874
lleo nlkua nataka mnizuilie kipara lakin nikifkiria zile 5 mnapigwagwa nakata tamaa![]()



lleo nlkua nataka mnizuilie kipara lakin nikifkiria zile 5 mnapigwagwa nakata tamaa![]()



unakikos gan cha kufanya attack mbele ya city tatizo awa watoto unaowategemea kwenye big match wanakua mavimavi2 amna lolote




Usikimbie wanao kwa sababu ya aina ya adui. Pambania wanao u will die a hero to them mazeeKikosi cha Manchester City kinatisha jamani
Tunahamia hapa rasmi... Maana marehemu mtarajiwa mapigo ya moyo yanaenda kasi sana.Lukaku kasema chelsea ni jalala
Sisi hatuna shida na ushindi 😅😅😅😅Tunahamia hapa rasmi... Maana marehemu mtarajiwa mapigo ya moyo yanaenda kasi sana.
Goals nyingi kwenye nyavu za arsenyeto.Do or die, inabidi leo tufunguke, ukikaa sana nyuma city ndio anakuua nyingi
attack as one unity and defend as one unity, through 90+ mins
Well structured, more active.
Kama ilivyo, nguvu ya mamba ni maji, ata nguvu ya man city ni midfield
Na ukiangalia DNA, midfield ndio nguvu ya arsenal miaka yote,
Leo atakaekua dhaifu katika eneo la kiungo ndio inakula kwake
Pia hii game ina goals nyingi
Mkae kwa kutulia hatutaki visingizio.Sisi hatuna shida na ushindi![]()
Yule ni Conte.Spurs kuku wetu, wanatufunga bahati mbaya tu. Watakufa tu tukikutana
That's disasterIn the last 9 epl matches against city, we have conceded 24 and scored 2 goals
Hatuvuinyinyi arsenal si mvue tu hiyo ch*p?
nyinyi arsenal si mvue tu hiyo ch*p?