Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Computerarsenal, Eroni na mkopoka naonaga ni mtu mmoja, huyu jamaa anasumbua na akaunti mia

kwa hiyo unajiquote tu mzee baba kwa kuswitch ID
You're not serious mkuu. Kwenye mpira huwa sibishani coz sipo vizuri sana, I come here to enjoy.

Halafu muache hizi mambo za ID hii ni yule au huyu, it's not right!!
 
IMG_20220101_144011.jpg
 
🚨 TEAM NEWS 🚨

😍 Tomiyasu returns
💪 Xhaka in midfield
🔥 Laca leads the line

Let's start the new year with a bang, Gunners! 💥
 
🚨 Nketiah misses out on today's squad after testing positive with Covid.

Get well soon, Eddie ❤️
 
Hehehehehehehehe Will Jr unanifurahisha sana mean wewe ukiona watu wanapingana na wewe hata wakiwa wawili or three basi conclusion yako ID ni moja?bro mbona unaoneakana una IQ nzuri kabisa why unakaa kuthink vitu ambavyo havi exist?
IQ ya mtu unaipima kwa nini we mzee?
 
A pretty good starting team, the bench still looks, uhmm 😳, not so much that a threat - we strongly need to have an equally frightening bench. More signings to beef up the team should be a matter of urgency.

A show of confidence, determination, and focus is all we need. Maintain what we have been doing, looking at this game just like the rest of our previous games.. we can do this, and we must.
COYG 🔋up
 
Shows how well everyone is doing that Smith-Rowe is still on the bench despite his goalscoring form this season.

Glad Tomiyasu is back, the balance he offers going forward and defensively might be key today.

This is going to be a mammoth task no matter the lineup. COYG ❤ 🤍
 
Composure & organization is what it's all about today.

If we miss this, Bang! Concede a lot of goals
 
Ake kawekwa LB.

Sterling na Silva wamewekwa upande wake kuziba weakness yake ya pace.

Rodri amerudi a solid player mpira uende mtu abaki au mtu aende mpira ubaki.

Silva, Jesus na Mahrez wote ni speedsters hawa, magoli yanatafutwa kivyovyote hapa.

Ingekua Pepe hana unnecessary showboat hii game ilifaa akatafutane na Ake.

Kazi ni ndefu kiukweli. Also City hua wanapata goli dakika 15 za mwanzo kila tukicheza nao, I believe ni kutokana na mentality considering tumebadilika acha tushikilie bomba.
 
IQ ya mtu unaipima kwa nini we mzee?
Uwezo wake wa kufikiri for example Will Jr anakwambia Computerarsenal na wenzangu wengineo ni ID moja meaning ni kuwa uwezo wa kufikiri umeishia hapo sababu anaona watu wanapingana na ideas ambazo may be kwa yeye anaona ni negative kwa Arsenal which is not true at all mfano Sisi tunataka Arsenal ashinde dhidi ya magiants ili tuone timu ina direction kuliko unamfunga Norwich Leeds Southampton Newcastle kisha unakutana na Liverpool Manchester City Manchester United Chelsea tunafungwa wakati game kama hizo dunia nzima inaangalia hadi kwa wasiopenda football
 
Ake kawekwa LB.

Sterling na Silva wamewekwa upande wake kuziba weakness yake ya pace.

Rodri amerudi a solid player mpira uende mtu abaki au mtu aende mpira ubaki.

Silva, Jesus na Mahrez wote ni speedsters hawa, magoli yanatafutwa kivyovyote hapa.

Ingekua Pepe hana unnecessary showboat hii game ilifaa akatafutane na Ake.

Kazi ni ndefu kiukweli. Also City hua wanapata goli dakika 15 za mwanzo kila tukicheza nao, I believe ni kutokana na mentality considering tumebadilika acha tushikilie bomba.
Kwa mentality hizi bro ndio maana tunaambulia Negative results frequently vs big giants
 
Back
Top Bottom