Asante kwa mometi zako.Kwa uandishi wako tu unaonesha na unajipambanua wewe ni rika gani,hebu rudia kusoma ulichokiandika kwanza halafu ndio utaamini kuwa sijakosea kukuita dogo....hebu nioneshe wapi nimekuita boya....
Hizi shule za kata bora zifunguliwe,
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Haya Tuanzie Hapa, kuna back pass ngapi Xhaka amezitoa zikaishia kutugharimu, kina faulo ngapi zikaishia lumpa red card ambazo mwiahowe ikawa gharama kwa yeam na lupoteza au kudroo mchezo husika.Mkuu tatizo lenu ni kwamba hamleti facts badala yake mnaruka ruka tu ndio maana watu wanawaona miyeyusho. Km kweli wewe una facts za kimpira ebu tueleze ni weakness zipi za Xhaka ambazo ukienda kuangalia gem 3 mfululizo lzm uzione toka kwake
Wewe jamaa iseeSasa kama hawakuwahi hata kuomba bei hiyo big talk ya Arsenal kumtaka Maximin au Zaha wewe umeitoa wapi?
Rafiki wa karibu na Zaha alipost video akiwa yeye na Zaha akiwaambia Arsenal wamsajili. Ulisikia Arsenal hata ilijisogeza kwa Crystal?
Hana akili huyo Dully Jr achana nae atakupotezea mudaKufungwa na Top 6 means umepoteza point 18 mkondo wa Kwanza na Zingine 18 mkondo wa pili.
Mazee point 36 ukizipoteza zote ubingwa jitoe tu. Labda itokee dhahama ambayo sio rahisi.
Ukipoteza 36 kwa uhakika hata hao wadogi wenzio huna uhakika wa kuwafunga wote so hapo tunaongea wastani wa point 55+ zimepitea.
Katika point kabla ligi kuanza 114 ukitoa 55 unabaki na 59 zinazotosha kukubakiza kwenye ligi na sio Top 4. Nanhapo hata nafasi ya europa umeikisa.
Mazee ili kuwa bingwa hesabu za point kutika Shit, Manyua, Cheksea, Fools, Spurs and Co lazima uzichukue ili kuwapunhuzia wao point na pia kujihakikishia nafasi ya kupapatuana nao pale juu.
Vinginevyo tuendelee na furaha ya kumfunga Norwich inatisha la ubingwa ni ndoto ya mbali sana hii. Tusahau kutokea
I think you are not mentally fit pitia post yangu kabla ya kusema haya unayoyasemaWe jamaa bana una matatizo ya kusahau sana sio bure, hayo maneno ni wewe ambae uliwambia jamaa ambae alikwambia kuwa Man u mara ya mwisho kumfunga Arsenal ilikuwa ni 2018 hadi ilipoifunga Tena msimu huu we ukamwambia wakati Man u anaifunga Arsenal Dec 2 Old Trafford ulikuwa umelewa? Ulikuwa umelala?
Mei nilipokuja kukujibu ndio nikakurudishia hayo maneno uliyomwambia jamaa kwakuwa ulimzodoa mshkaji ilihali ye Yuko sahihi, maana ni kweli Arsenal ilikuwa haijafungwa na Man u since 2018 hadi ilipotokea msimu huu ila we ukaja kumbishia
Hadi hapa mkuu nachelea kusema ni kweli we jamaa ni mgumu sana kuelewa na una kasumba ya ubishi, Yani kama hadi hayo maneno yako mwenyewe unasahau kama ndie ulieyaleta na kuniuzia mie case, inashangaza aisee
Sawa mkuu ila ninachotaka na kutegemea kukiona ni kwamba uniambie kwamba ukienda kuangalia mechi 3 za ambazo Xhaka yupo kikosini utaona 1, 2, 3 kutoka kwa Xhaka (cmmon mistakes from Xhaka). Sio tu kwamba alifanya hivi au vile mechi fulani na tukafungwaHaya Tuanzie Hapa, kuna back pass ngapi Xhaka amezitoa zikaishia kutugharimu, kina faulo ngapi zikaishia lumpa red card ambazo mwiahowe ikawa gharama kwa yeam na lupoteza au kudroo mchezo husika.
Xhaka ni kama mwezi mchanga, unakupa mwanga kwa wakati furani na baadae kukuacha gizani. Buwezi kumtegemea kama jna harakati za kusaka Ubingwa.
Kesho nikipata nafasi nitakuja na full record za mwamba na matokeo ya kila match yaliishaje baada ya madness zake
Acha ubishi you need to learn from others bro wewe unataka kuonekana una akili kuliko wengine plz acha hyo tabia ulivyo sema mwenzio akaangalie strength za Xhaka sababu wengi wamemsapoti huo ni ujinga kubali kukubaliana na wenzako wewe unachokiona ni positive mwenzio anaweza akaona ni pumba pia umeandikaTatizo lako ni moja huwezi kusema kitu ambacho kinaeleweka ili mtu akajifunze kwa kufuatilia unachokisema. Pia hoja zako zote huwa hazina fact za kimpira ambazo mtua anaweza kukaa na kuanza kuzifuatilia ili kuona km ni kweli kinachosemwa ndicho kinachofanyika au la.
Hata hapa ulipo niquote nadhani pia hukuelewa. Hapa nilikuwa namwambia huyo ndg baada ya kusema kafunga mjadala na hataki kubishana kwahiyo mimi nikawa namweleza kwamba kupitia ubishi ndipo tunapojifunza maana mwenzako atasema hiki na wewe utasema kile hivyo utapata fursa/wasaa wa kufuatilia kilichokuwa kinasemwa na opponent wako ili uhakikishe kuwa alichokuwa anakitetea ndicho kinachotokea au anamis-interpret.
Sasa kama hawakuwahi hata kuomba bei hiyo big talk ya Arsenal kumtaka Maximin au Zaha wewe umeitoa wapi?
Rafiki wa karibu na Zaha alipost video akiwa yeye na Zaha akiwaambia Arsenal wamsajili. Ulisikia Arsenal hata ilijisogeza kwa Crystal?
Wataje unaogopa nini?Vilaza wawili naona wameamua kupeana moyo
Dont expect Saka Smith Row Odeegard Martinelli watakaa 3 seasons wanavumilia hawabebi trophies kwa mpira wa sasa never ever that's why Fabregas Van Persie Nasri Denilson Song Hleb hao ni baadhi wote waliikimbia Arsenal na kwenda kupata Big achievements kwa kubeba trophies ambazo kwa Arsenal hawakuzibeba mind you mpira wa sasa ni pesa tu ndio itoke tena ya maana if you want to achieve something sio pesa za mafungu may be walipwe salary za kujitosheleza for example Bayern Munich Real Madrid Manchester City PSG wanawaambia hao watoto tutakupa salary ya 250 wakati Arsenal anapata 100 au 120 na promise ya kubeba trophiesBro umeamua Tu kumchosha mwana!!!
Arsenal Kupambana na Top 3 unavyotaka, tungonjee Hii Project yao waakae walau hata miezi 24 hadi 36 pamoja (yaani 3 seasons) na hapo umeongeza Quality signings zingine
kipimo cha Kuzifunga top 3 ndo unakuwa bora basi WESTHAM ni timu Bora maana kaifunga Chelsea na Liverpool
Palace nao Bora maana wameidungua man city Tena ETIHAD
EPL table haidanganyi, hakuna Timu Rahisi ilivyo pale kila nafasi timu ilivyo ndo UHALISIA wa Ubora wa timu husika Msimu unavyoenda nothing ELSE
kama Hujaelewa hapa basi tena bro
Then hujajibu my question why usiachane na ubishi wa Xhaka sababu wanaojiita wataalamu humu wengi wamekupinga?umeambiwa u learn kaangalie strength za Xhaka je umeziangalia tayari?Mkuu nitake radhi, siwezi kumuita mtu Mjinga au Mlevi hivo nakataa kuwa sijakuita hayo majina, me napenda mtu abishane kwa hoja na sio kwa mazoea kama baadhi yenu mnavofanya humu
Na Kupishana mawazo katika mambo ya mpira ni kitu cha kawaida maana Kila mtu ana mtazamo wake ila kamwe siwezi kuvuka mipaka na kuita wenzangu majina ya ajabu ajabu
Sheikh una uelewa wa chini sana na kwasababu hiyo sitakujibu mpaka nitakapoona umeimprove uelewa wako katika kuchanganua mamboAcha ubishi you need to learn from others bro wewe unataka kuonekana una akili kuliko wengine plz acha hyo tabia ulivyo sema mwenzio akaangalie strength za Xhaka sababu wengi wamemsapoti huo ni ujinga kubali kukubaliana na wenzako wewe unachokiona ni positive mwenzio anaweza akaona ni pumba pia umeandika
Mimi najua pumba na ujinga fuatilia post zangu huwa kuna watu huwa nasapoti walichokisema fuatilia ila kuna wengine kama wewe unaandikaga pumba unaona umeandika positive kwenye makala zako nyingi chache huwa ni positive but many makalas huwa nakushangaa
Huna majibu acha kukimbiakimbia you need to learn from others pia bro that's my opinion unataka uwe mfalme wakati wengine tunaona your nothing katika mpira unajidanganyaSheikh una uelewa wa chini sana na kwasababu hiyo sitakujibu mpaka nitakapoona umeimprove uelewa wako katika kuchanganua mambo
Ubishani wa kitoto, inafurahisha sanaSasa kama hawakuwahi hata kuomba bei hiyo big talk ya Arsenal kumtaka Maximin au Zaha wewe umeitoa wapi?
Rafiki wa karibu na Zaha alipost video akiwa yeye na Zaha akiwaambia Arsenal wamsajili. Ulisikia Arsenal hata ilijisogeza kwa Crystal?
HahahahahaYule bro wangu aliyekua ananiambia "Fukuza kocha" naona bado anapost highlights za Norwich.
Ubishani wa kitoto, inafurahisha sana
Nina pages hua nazifuatilia kuhusu usajili. Kuna transfer, transfer centre, fabriziorom, davidernstein, chris whitley na transfermarket. Hawa wote wasiseme hiki ulichokiona? As usual mkikosa majibu mnakimbilia kujifanya mna akili sana.
Umeshinda ndugu.Nina pages hua nazifuatilia kuhusu usajili. Kuna transfer, transfer centre, fabriziorom, davidernstein, chris whitley na transfermarket. Hawa wote wasiseme hiki ulichokiona? As usual mkikosa majibu mnakimbilia kujifanya mna akili sana.
Soma hii Post yako labda ndio utaelewa Kwanini mie nilikuuliza ulikuwa umelewa? Au umealala? Jitahid uwe na kumbukumbu mkuuDecember 2 2021 at Old Trafford Manchester United alitufunga au hukuangalia mpira bro?umelewa nini bro?nimekufafanulia at least season za nyuma tulikuwa tunapata points kwa hao wakubwa but this season tumepata 0 points against Chelsea Liverpool Manchester City Manchester United (ambao since 2018 hakuwah kutufunga)so improvement ipo wapi?kumfunga Norwich (20 position)Leeds(16 position)Southampton(14 position)kwa Big team kama Arsenal sio kuwa timu ina improvement sababu Arsenal haijawahi kusumbuliwa na hizo teams kwa miaka mingi bro
Arsenal kuwa Top 4 ni kitu cha kushangaza?hell no Arsenal kuwa Top 4 ndiyo position anayoshahili kwa kipindi hiki and that's why tumepiga sana kelele 3 seasons back kuwa why Arsenal hayupo Top 4 au hata Top 2 sababu Arsenal is the biggest team in UK