Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Oyah, boy, huyo jamaa yako analia lia sana, yani me niingie Google kuangalia kama Arsenal ilishakua na mchezaji anaeitwa Park?
Jamaa pumbavu sana huyo

Nina mangapi ya kuyafanya, niyaache nimfuatilie Park alie cheza Arsenal?

Hivi angenielekeza tu kuwa ni kweli kulikua na taka taka inayoitwa Park pale Arsenal, angepoteza nini mshamba huyo?



Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kama huna muda wa kutafuta taarifa sahihi basi usituletee udanganyifu hapa.

Kama hujui cha kuandika usidanganye au hata uliza sio kujitanua na wakati kivhwa hakina habari sahihi
 
Mkuu Kitoabu tulikuwa na flop wetu pale arsenal alisajiliwa 2011 ila mkataba wake mpk unaisha alikuwa kwa mkopo celta vigo na Watford

Ila kabla ya kuja kwetu alikuwa ST mzuri tu timu ya Seoul-South Korea na Monaco-France ila baada ya kuja Arsenal akawa big flop

Alikuwa anaitwa Park-Chu-Young
Naona hatunaga bahati saana na wachezaji wanaotoka ligue 1.
 
Nuno Tavares to start today and save Kieran Tierney for Wolves. I’m thinking this makes the most sense. But we should not underrate any opponent in the PL it’s risky. #COYG
 
Leo na Norwich wadau tutatoboa? maana hizi team za mwisho zinakamiaga sana
Sioni kwanini tusitoboe.

Ukiachilia mambo ya mpira unadunda naona Arsenal tuna chansi kubwa ya kushinda kwa kuzingatia morali ya wachezaji, historia dhidi ya Norwich na form waliyonayo wachezaji.

Nafikiri Arteta amesha-unlock combination ya ushindi.

Let's wait & see
 
Nuno Tavares to start today and save Kieran Tierney for Wolves. I’m thinking this makes the most sense. But we should not underrate any opponent in the PL it’s risky. #COYG
Especially now that we need to tighten our grip on number 4
 
Sioni kwanini tusitoboe.

Ukiachilia mambo ya mpira unadunda naona Arsenal tuna chansi kubwa ya kushinda kwa kuzingatia morali ya wachezaji, historia dhidi ya Norwich na form waliyonayo wachezaji.

Nafikiri Arteta amesha-unlock combination ya ushindi.

Let's wait & see

Norwich not a threat. Tutawafunga kwao
 
Waiting to hear "Here we go! Dusan Vlahovic to Arsenal from Fiorentina is a done deal" by Fab Romano, then I can peacefully divorce my wife and concentrate on my beloved Arsenal 😍❤
 
Waiting to hear "Here we go! Dusan Vlahovic to Arsenal from Fiorentina is a done deal" by Fab Romano, then I can peacefully divorce my wife and concentrate on my beloved Arsenal 😍❤
Kwa jinsi Arteta alivyojipambanua sioni kama atakomaa na Dusan.

Housem Aouar aliringa. Msimu huu bei yake ilishuka na Arsenal haikumfuata.

Locatelli ameringa ameachwa na kuna uwezekano asifuatwe tena.

So Dusan kwa mguu alioanza nao sioni akija. Ingawa wakina Martinelli wanatufanya tuhisi hatuhitaji ST but we do so natarajia tutasajili ST hata kama siyo Dusan.
 
Kwa jinsi Arteta alivyojipambanua sioni kama atakomaa na Dusan.

Housem Aouar aliringa. Msimu huu bei yake ilishuka na Arsenal haikumfuata.

Locatelli ameringa ameachwa na kuna uwezekano asifuatwe tena.

So Dusan kwa mguu alioanza nao sioni akija. Ingawa wakina Martinelli wanatufanya tuhisi hatuhitaji ST but we do so natarajia tutasajili ST hata kama siyo Dusan.
Yaah kabisa mkuu, Arteta asijisahau na kujiona hana shida na ST, inabidi tupate mtu hatari pale kwenye box la mpinzani
 
XI today..

ramsdale

white
holding
gabriel
kieran

saka
partey
xhaka
martinelli

odergaard

lacca
 
The team to face Norwich this afternoon! 💪

Charlie Patino is on the bench! 🙌

#NORARS #Arsenal #AFC
 
Back
Top Bottom