johrobby
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,066
- 2,252
hoja ya msingi n kwamba amjui epl inafananaje nyie mmechukua kipindi likiwa kama mataji ya ubarikioRudi kwenye hoja ya msingi. Punguza uvivu wa kusoma,








Sent using motorola 78
hoja ya msingi n kwamba amjui epl inafananaje nyie mmechukua kipindi likiwa kama mataji ya ubarikioRudi kwenye hoja ya msingi. Punguza uvivu wa kusoma,








Kama huna muda wa kutafuta taarifa sahihi basi usituletee udanganyifu hapa.Oyah, boy, huyo jamaa yako analia lia sana, yani me niingie Google kuangalia kama Arsenal ilishakua na mchezaji anaeitwa Park?
Jamaa pumbavu sana huyo
Nina mangapi ya kuyafanya, niyaache nimfuatilie Park alie cheza Arsenal?
Hivi angenielekeza tu kuwa ni kweli kulikua na taka taka inayoitwa Park pale Arsenal, angepoteza nini mshamba huyo?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Naona hatunaga bahati saana na wachezaji wanaotoka ligue 1.Mkuu Kitoabu tulikuwa na flop wetu pale arsenal alisajiliwa 2011 ila mkataba wake mpk unaisha alikuwa kwa mkopo celta vigo na Watford
Ila kabla ya kuja kwetu alikuwa ST mzuri tu timu ya Seoul-South Korea na Monaco-France ila baada ya kuja Arsenal akawa big flop
Alikuwa anaitwa Park-Chu-Young
Henry alitokea wapiNaona hatunaga bahati saana na wachezaji wanaotoka ligue 1.
ItalyHenry alitokea wapi
Yeah! JuventusItaly
Viera Italy
Yaah ila mzee Wenger huu ulikuwa utamaduni wake wa kupenda kuwasajili wachezaji wa kutoka ligue 1Naona hatunaga bahati saana na wachezaji wanaotoka ligue 1.
Sioni kwanini tusitoboe.Leo na Norwich wadau tutatoboa? maana hizi team za mwisho zinakamiaga sana
Especially now that we need to tighten our grip on number 4Nuno Tavares to start today and save Kieran Tierney for Wolves. I’m thinking this makes the most sense. But we should not underrate any opponent in the PL it’s risky. #COYG
Sioni kwanini tusitoboe.
Ukiachilia mambo ya mpira unadunda naona Arsenal tuna chansi kubwa ya kushinda kwa kuzingatia morali ya wachezaji, historia dhidi ya Norwich na form waliyonayo wachezaji.
Nafikiri Arteta amesha-unlock combination ya ushindi.
Let's wait & see
Yes for sureEspecially now that we need to tighten our grip on number 4
Serie A.Henry alitokea wapi
Asante,Italy
Viera Italy
Kwa jinsi Arteta alivyojipambanua sioni kama atakomaa na Dusan.Waiting to hear "Here we go! Dusan Vlahovic to Arsenal from Fiorentina is a done deal" by Fab Romano, then I can peacefully divorce my wife and concentrate on my beloved Arsenal 😍❤
Yaah kabisa mkuu, Arteta asijisahau na kujiona hana shida na ST, inabidi tupate mtu hatari pale kwenye box la mpinzaniKwa jinsi Arteta alivyojipambanua sioni kama atakomaa na Dusan.
Housem Aouar aliringa. Msimu huu bei yake ilishuka na Arsenal haikumfuata.
Locatelli ameringa ameachwa na kuna uwezekano asifuatwe tena.
So Dusan kwa mguu alioanza nao sioni akija. Ingawa wakina Martinelli wanatufanya tuhisi hatuhitaji ST but we do so natarajia tutasajili ST hata kama siyo Dusan.