Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta has taken Arsenal into three semi-finals in three different competitions in two years.
 
Aubamuyange kamfanyaje kocha mbona anakula sana bench sana
Screenshot_20211222-012122_Chrome Beta.jpg

nadhani shida ilianzia hapa
 
Baada ya kipigo cha 5 - 1 dhidi ya Sunderland mashabiki wa Arsenal wamekua wakishangilia wakisema wamemfunga mdomo Lee baada ya dhihaka zake.

Mashabiki wa Sunderland wanadai kocha wao alikua anatania hakua serious na ile kauli. Hivi ingetokea wangetufunga jana stori ingekua hii hii? Kwamba 'Tumeshinda ila kocha alitania?'

Mi natafuta interview ya kocha wao baada ya mechi
 
..kazi ni kuwafunga midomo..hii Carabao haipo hata kwenye mipango ila nayenyewe ikaa vibaya..tunapitanayo...
 
..wanafamilia wenzangu wa ARSENAL! mimi nipo ARUSHA, SAKINA, BANDA MAZIWA..tujumuike hata mara moja..
 
Baada ya kipigo cha 5 - 1 dhidi ya Sunderland mashabiki wa Arsenal wamekua wakishangilia wakisema wamemfunga mdomo Lee baada ya dhihaka zake.

Mashabiki wa Sunderland wanadai kocha wao alikua anatania hakua serious na ile kauli. Hivi ingetokea wangetufunga jana stori ingekua hii hii? Kwamba 'Tumeshinda ila kocha alitania?'

Mi natafuta interview ya kocha wao baada ya mechi
aya ya kuifunga Sunderland ndo makombe yenu

Sent using motorola 78
 
nilikua nawatamani nyie vibonde wa lukaku awaekelee mana anawaweza nyie2
IMG-20211210-WA0003.jpg


Sent using motorola 78
 
Back
Top Bottom