MkoPoKa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 600
- 393
Na sababu ya kucheza 4-2-3-1 ni lijaza sehemu kiungo. Unaposhambulia unakuwa na wanne na unapozuia unakuwa na watano plus hao watatu waliokuwa wanashambulia kama mfumo wa pressing ameuweka sawa. Unashambukia na watano na unalinda na nane as kuna box to noxid walio na speed yakutosha kushuka n akupandiaha team kwa wakati mmojaNilimaanisha kuhusu formation.
Timu nyingi zinacheza 4 2 3 1