Ndoto nzuri sana hii kuiota. Next season itaanza and we will still have Xhaka and co in our midfield.Kwenye 433 Bruno Guimares anakuwa LCM, ESR anakuwa RCM, Partey as a single pivot.
Bruno G anahusika kwenye build up phases & more of passing progression, ESR as a free player anacarry the ball to the final third, Toney/DCL/ Vlahovic kama ST.View attachment 2052247
Spurs are always the sh**t i know hawaweza kubadilika ikikutanq na ArsenalJuzi Spurs walivyocheza na Liva walikua wanapiga thru balls za hatari ule mpira wao kama hatutabadilika tukikutana nao watatupa tabu mno.
Good observation, nadhani hukunielewa, nilisema katika ile mechi waliyocheza Westham, kabla ya mechi yetu na hao Westham; kwamba ikitokea RICE akapata yellow hatacheza kwenye mechi yetu kwa sababu angekuwa na 5 yellow cards. kilichotokea hakupata hiyo kadi. Lakini pia nilisema ukimdhibiti yule bwana Westham yote inapotezana, na ndicho kilichotokea.Katika watu wanaoongoza kuzuia excitement yawezekana nimo. Ndiyo maana hautaona comment yangu ikisifia ushindi dhidi ya spurs msimu huu.
Nakubaliana na wewe ni mapema kum-term kama kocha bora na nimeandika hivi "Amejitahidi kupandisha morali ya timu" sijasema "Ni bora"
Sheria inasema timu ikiwa na wachezaji 7 inaweza kuingiza timu uwanjani. Leeds ilikua na wachezaji 9. Also nataka ujue kwamba Leeds hajawahi kutufunga tangu tuanze kukutana naye so hakuna jambo la ajabu kumfunga Leeds.
Assuming Leeds was badly hit na Westham vipi? Maana wewe ndiye ulisema kuna mchezaji wao hatokuepo so we are safe but he was there and we won.
It took 10 minutes for Leeds to score after Tomiyasu was subbed in our game against Leeds. Hii inatakiwa ikupe picha kwamba siyo Rice wala nani atatuamulia ushindi wetu bali ni dedicated players kama Tomiyasu na kocha anayetia moyo na siyo huruma ya covid au timu pinzani.
msisahau kwamba bayern yuko uefa..mapambano yanaendelea..hiyo EFL..ikakaa vibaya tunapita nayo..lengo letu msimu huu ni kumaliza nne bora...#COYG



nyie ng'ang'anieni fedheaArteta alisema huu ndo mfumo wake pendwa lkn mwaka wa pili huu sioni dalili ya kuutumia japo kwa mechi baadhiKwenye 433 Bruno Guimares anakuwa LCM, ESR anakuwa RCM, Partey as a single pivot.
Bruno G anahusika kwenye build up phases & more of passing progression, ESR as a free player anacarry the ball to the final third, Toney/DCL/ Vlahovic kama ST.View attachment 2052247
Upepo umekataa ameamua kubaki na mfumo unaotumiwa na wengi kwenye ligiArteta alisema huu ndo mfumo wake pendwa lkn mwaka wa pili huu sioni dalili ya kuutumia japo kwa mechi baadhi
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Hatuna Midfield ya kucheza 433, unahitaji controller, creator, lakini pia wawe na high defensive workrate sababu unacheza na single pivot, Arteta alijaribu 433 vs Palace na game ikaisha 2-2.Arteta alisema huu ndo mfumo wake pendwa lkn mwaka wa pili huu sioni dalili ya kuutumia japo kwa mechi baadhi
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mfumo sio ishu sana, timu nyingi zina build up play kwenye 2-2, 2-3,3-2 Shape, regardless the system.Upepo umekataa ameamua kubaki na mfumo unaotumiwa na wengi kwenye ligi
4-4-1-1
Hao ndo wachezaji wa kiwango vha Mwali tuliyrnae. Huwezi leta Haaland hapa akamubali kufunfiahwa na aina hii ya Mwalimu.arteta anafanya kaz nzuri ,kuna baadhi ya wachezaji wa first team based on perfomance n muendelezo wa viwango vyao kw kila mechi ,klabu inabidi kuachana nao ili arteta apate nafas ya kusajili wengne wenye ubora zaidi ,wachezaj hao ni : niles ,elneny ,chambers ,cedric ,kolasinac ,lacca ,pepe n holding ,nafikir hao ,sio wachezaji wa kuifikisha klabu kwnye malengo makubwa zaidi!
Dah! utabadili ID paka lini toka Milango mitatu paka huku, ifike mahali ukue, oyaa Dully Jr mwanao huyu.Hao ndo wachezaji wa kiwango vha Mwali tuliyrnae. Huwezi leta Haaland hapa akamubali kufunfiahwa na aina hii ya Mwalimu.
Lets accept the reality.
Rudi nyuma nisome vyema. Hii ndo ID yangu ya kudumu, iwe najadiki siasa au michezo, tena kwa jukwaa langu la team pendwa. Mi sio kinyonga, nitafia kwa hii yram na IF yangu hii hii. Kama unateseka ni juu yako Mazee.Dah! utabadili ID paka lini toka Milango mitatu paka huku, ifike mahali ukue, oyaa Dully Jr mwanao huyu.
Maturity ni kukubaliana mawazo yenu!? Mi sio boya nijihangaishe kubadili ID kisha nifaidi nini kwa kufanya hivyo. Hebu kueni kifikra, na sio lazima tukubaliane na mawazo yenu, kila mtu ana maono yake. Nikipinga mawazo yako fyokofyoko Maturity. Nadhaninahitaji kutoka kwenye hilo box la upumbavu mmefungiwaMwamba ana zaidi ya miaka tatu humu afu maturity zero kabisa ni Kuswitch tu ID