Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2021-12-17-17-59-49-70.jpg
 
Nahofia kwamba Tavares ataanza kudemand game time kwa kujua kwamba anahitajika na City and to be fair he is good na anastahili game time
Yani unapata hofu kwa habari iliyoandikwa na page ya shabiki wa Arsenal, kuna ukweli gani hapo mkuu, na pia kumbuka city hununui wachezaji ambao hawajaperove uwezo wao kama ilivo kwa arsenal, pep hawezi kununua huyo dogo na mawenge yote Yale aliyonayo
 
View attachment 848157

Full name: Arsenal Football Club

Nickname(s): The Gunners

Founded: 1 December 1886

League: Premier League

Website: arsenal.com


View attachment 848163
Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch 105m x 68m


View attachment 1538867
Owner: Stan Kroenke

View attachment 848173
Chairman: Sir John Chippendale "Chips" Lindley Keswick

View attachment 1511007
Head Coach: Mikel Arteta​


Arsenal Trophies:
League Tittles: 13

First Division/Premier League Champions: 13 (1930/31, 1932/33, 1933/34, 1934/35, 1937/38, 1947/48, 1952/53, 1970/71, 1988/89, 1990/91, 1997/98, 2001/02, 2003/04)

European Trophies: 1
UEFA Cup Winners': 1 (1993/94)

FA Cup Trophies: 14 (1929/30, 1935/36, 1949/50, 1970/71, 1978/79, 1992/93, 1997/98, 2001/02, 2002/03, 2004/05, 2013/14, 2014/15, 2016/17, 2019/20)

League Cup: 2 (1986/87, 1992/93)

Community Shield: 15
FA Charity Cup/FA Community Shield: 15 (1930, 1931, 1933, 1934, 1938, 1948, 1953, 1991, 1998, 1999, 2002, 2004, 2014, 2015, 2017)

Other Trophies
League Centenary Trophy: 1 (1988)
Inter-Cities Fairs Cup: 1 (1969/70)


View attachment 1542905
Arsenal Football Club celebrate as they Crowned The Emirate FA Cup Winners(2020)


View attachment 1542904
Arsenal Premier League Timetable of 2020/21

Follow this thread for team updates!
The gunners forever
 
Kuna braza angu ni Arsenal kindaki ndaki miezi minne nyuma akasema hatoangalia mechi tena mpaka Arteta aondoke. Nina kawaida ya kuweka mechi za Arsenal katika status kabla hazijachezwa na matokeo ya mechi husika.

Bro hua ananitext. 'Fukuza kocha' 'Arteta hafai' 'Mtalia sana'

Leo naona kapost goli la Laca dhidi ya Soton.

Kondoo wanakusanywa sasa.
 
Yani unapata hofu kwa habari iliyoandikwa na page ya shabiki wa Arsenal, kuna ukweli gani hapo mkuu, na pia kumbuka city hununui wachezaji ambao hawajaperove uwezo wao kama ilivo kwa arsenal, pep hawezi kununua huyo dogo na mawenge yote Yale aliyonayo
Hiyo taarifa leo naileta mara ya pili.

Mara ya kwanza niliileta ikiwa imetoka kwenye page ya 'Transfers' also katika reference umeona neno 'according to'? Means siyo taarifa yake.
 
Hiyo taarifa leo naileta mara ya pili.

Mara ya kwanza niliileta ikiwa imetoka kwenye page ya 'Transfers' also katika reference umeona neno 'according to'? Means siyo taarifa yake.
Nimeona mkuu kwa maelezo yake kuwa kaitoa ESPN, ila tukiwa kama mashabiki wa mpira na wafatiliaji wa mpira pia sidhani kama unaweza kuamini man city inaweza kununua mchezaji kama Tavares

kwa pep dogo ata sub hawezi kukaa, ukiona pep anamweka ata benchi mchezaji kutoka kikosi B basi jua huyo ni special na anajitambua na mwisho kabisa lazima awe comfortable akiwa na mpira na hii ndio sifa kubwa ambayo Tavares Hana, we angalia ata madogo wote ambao pep anawatoa kikosi B na kucheza kikosi cha wakubwa wako very comfortable na mpira

Na pep akinunua mchezaji basi waga ananunua wachezaji walio teyari kwenda kudeliver, dogo bado ana makosa mengi sana, sio tu Man City ila kuna team nyingi tu za kati ambazo haziwezi kumuamini kwa sasa, ni vile tu Arsenal iko katika kujenga team ndomana haina budi kuvumilia wachezaji kama Dogo pamoja na makosa yake, japokuwa ni promising player so anahitaji muda
 
Nimeona mkuu kwa maelezo yake kuwa kaitoa ESPN, ila tukiwa kama mashabiki wa mpira na wafatiliaji wa mpira pia sidhani kama unaweza kuamini man city inaweza kununua mchezaji kama Tavares

kwa pep dogo ata sub hawezi kukaa, ukiona pep anamweka ata benchi mchezaji kutoka kikosi B basi jua huyo ni special na anajitambua na mwisho kabisa lazima awe comfortable akiwa na mpira na hii ndio sifa kubwa ambayo Tavares Hana, we angalia ata madogo wote ambao pep anawatoa kikosi B na kucheza kikosi cha wakubwa wako very comfortable na mpira

Na pep akinunua mchezaji basi waga ananunua wachezaji walio teyari kwenda kudeliver, dogo bado ana makosa mengi sana, sio tu Man City ila kuna team nyingi tu za kati ambazo haziwezi kumuamini kwa sasa, ni vile tu Arsenal iko katika kujenga team ndomana haina budi kuvumilia wachezaji kama Dogo pamoja na makosa yake, japokuwa ni promising player so anahitaji muda
Haya sawa
 
Kesho game na Leeds.

Minor issues ambazo hatutazisema kwakua tumeshinda ni kigugumizi cha kutoa pasi cha Xhaka, composure ya Saka, pressing ya kawaida, back passes, players kutoona runs zinazofanywa na wenzao n.k.

Itakua poa tukishinda, hatuna majeruhi zaidi ya Leno na Kolasinac labda corona ije kuongeza majeruhi. Auba hayupo but inability to score inafanya tusimmiss.

Mid bado miyeyusho.

Kuna taarifa ya kutafutwa Dejan Kulusevski au Renato Sanches.

Taarifa nyingine ni ya ST. Na siyo Dusan.
 
🚨BREAKING NEWS: Pierre-Emerick Aubameyang is BANISHED from Arsenal first-team training and will be exiled until after the Africa Cup of Nations - and deposed captain could be sold in January.

[Daily Mail]
 
Kesho game na Leeds.

Minor issues ambazo hatutazisema kwakua tumeshinda ni kigugumizi cha kutoa pasi cha Xhaka, composure ya Saka, pressing ya kawaida, back passes, players kutoona runs zinazofanywa na wenzao n.k.

Itakua poa tukishinda, hatuna majeruhi zaidi ya Leno na Kolasinac labda corona ije kuongeza majeruhi. Auba hayupo but inability to score inafanya tusimmiss.

Mid bado miyeyusho.

Kuna taarifa ya kutafutwa Dejan Kulusevski au Renato Sanches.

Taarifa nyingine ni ya ST. Na siyo Dusan.
Auba anachoiumiza timu sio tu kuscore, ball progression to the opposition final third na ball retention yake ni hovyo inaua build up nzima ya timu, Auba kwenye quick transition teams anafanya vizuri ila kwa positional play hapana thats why Mikel anachase a new ST.

Ukimuangalia Laca alichofanya vs West ham kwenye kucreate goli la Martinelli ndio kazi anayotakiwa afanye Auba as a striker.

Firmino anaweza asifunge ila akiwa uwanjani unaona namna Liverpool inavyocheza vizuri and a very dangerous team.

Link up play, progression, movement, pressing sifa muhimu kwa an elite ST.
 
Air Ramsdale has now kept 8 clean sheets in the Premier League this season, only Alisson (9) & Ederson (9) have kept more.

Ramsdale (8 clean sheets in 14 matches)
Alisson (9 clean sheets in 16 matches)
Ederson (9 clean sheets in 17 matches)
 
Back
Top Bottom