Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sijaelewa unazungumzia experience ipi mkuu maana yupo pale kwa miaka 5-6 sasa. Na ukiondoka partner ya Gabriel na white kwa sasa. kabla ya hapo holding ndo alikuwa anaanza huku gabriel, luiz na Pablo mari wakipishana. Kwahiyo km ni issue ya uzoefu sidhani km anahitaji tena uzoefu
Achana na holding wewe huyo mtoa boko mambo ya experience kwenye timu hayana muda kwa sasa for example nkikuuliza kati ya Ramsdale na Holding nani anastahili kuwa Captain utasema Holding?itakuwa ni Joke of the year today Captain wa City ni Ruben Dias na amewakuta De Bryne Mahrez Silva hao wote kawakuta but Kitambaa kapewa yeye Holding katika timu yetu ni
Arsenal haina Captain kwa sasa kwa player yoyote hakuna I remember mwaka 2004 Lauren defender wetu alitoa boko uwanjani I think vs Roma uwanjani but wameshapanda ndege wapo angani Vieira kumbe bado ana hasira akamtwanga ngumi huko huko juu coz ya boko alilotoa uwanjani but nani kwa leo hii anaweza do kama alivyofanya Vieira?who?nani?jibu ni no one so angalau namuonaga Ramsdale ana vitu vya kuwa Captain may be akipata chance anaweza kufanya kitu
 
..hizi nyumbu na timu zingine...zitaukimbia huu uzi..ipo siku...hopeful mko poa wanafamilia wenzangu wa ARSENAL.
 
..hizi nyumbu na timu zingine...zitaukimbia huu uzi..ipo siku...hopeful mko poa wanafamilia wenzangu wa ARSENAL.
Acha kujipa moyoo,wakati uhalisia wa timu yako unauona,

Unashindaa leo, fixture inayo kuja una haribu.Ndo nini?
 
Achana na holding wewe huyo mtoa boko mambo ya experience kwenye timu hayana muda kwa sasa for example nkikuuliza kati ya Ramsdale na Holding nani anastahili kuwa Captain utasema Holding?itakuwa ni Joke of the year today Captain wa City ni Ruben Dias na amewakuta De Bryne Mahrez Silva hao wote kawakuta but Kitambaa kapewa yeye Holding katika timu yetu ni
Arsenal haina Captain kwa sasa kwa player yoyote hakuna I remember mwaka 2004 Lauren defender wetu alitoa boko uwanjani I think vs Roma uwanjani but wameshapanda ndege wapo angani Vieira kumbe bado ana hasira akamtwanga ngumi huko huko juu coz ya boko alilotoa uwanjani but nani kwa leo hii anaweza do kama alivyofanya Vieira?who?nani?jibu ni no one so angalau namuonaga Ramsdale ana vitu vya kuwa Captain may be akipata chance anaweza kufanya kitu
Unazozisema sio sifa za kuwa nahodha wa timu. Kwamba mwenzako akitoa boko basi wewe ukamfokee au ukampige!? Huwezi kuwa kiongozi wa namna hiyo. Kiongozi sio tu kujituma bali awe ni muunganishaji wa wenzake, kwake sifa kuu iwe ni umoja na ushirikiano kwa timu nzima.

Ukiwa beki kufanya makosa ni hali ya kawaida ila tu makosa hayo yasiwe ya kujirudia rudia. Ebu niambie kwa mabeki ambao ni manahodha ni yupi hajawai toa boko?

Mwisho nakukumbusha kwa kukuuliza kwanini Gallas alivuliwa unahodha na Wenger? Uongozi sio kuwapiga au kuwafokea wenzako wanapoharibu na mpaka sasa sijaona makosa ya holding uwanjani ya kumfanya asipewe kitambaa labda km sababu itakuwa kwamba hapati nafasi ya kucheza kutokana na partiner ya White na Gabriel kukubali lkn vinginevyo kwangu naona anafaa kabisa kuwa nahodha
 
We were shitty last time we met against Westham within forty minutes we were three nil behind, and then second half came through and we equalized the third, equalizer, was scored by Laca apparently Laca has a knack of scoring against Westham.

If he makes it into first eleven tonight, which I believe he will bar injury, then I think anything can happen. By anything I mean Laca scoring.
 
Back
Top Bottom