Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
It was coming. Martinelli
Sub. Pepe au Emile mmoja aingie
wamekusikia and its a penalt.Sub. Pepe au Emile mmoja aingie
Ana haki ya kuchoka, jamaa anakimbia uwanja mzima plus huko kukaba kwake kwa nguvuLacazette looks tired
Gabriel anapambana sana aisee, always anapanda na kushuka, kwahiyo mchango wake ni mkubwa sana nahisi ndomana arteta akawa anafosi dogo arudi vitaniArteta ana shida gani na kurudisha wachezaji majeruhi uwanjani