MkoPoKa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 600
- 393
That may be inaweza kutokea bwana Mustache akiiacha team toka kifungo cha mfuko wake..ipo siku nasisitiza ipo siku..mishabiki ya nyumbu na timu zingine zitaukimbia huu uzi wetu pendwa..anyway hopefully mko poa wanafamilia wenzangu wa ARSENAL.