computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
This is good news anywayGranit Xhaka karudi haraka sana
This is good news anywayGranit Xhaka karudi haraka sana
Muda wa kucontrol games, muda wa progressive passes with Granit Xhaka.Granit Xhaka karudi haraka sana
Awe labda kabadilika lakini akiendelea kua lazy na zile reckless challenges zake bado shida zitakua zile zile tu.Granit Xhaka karudi haraka sana
Ana makombe mangapi huyu founder?Anaitwa Sir Ralf Rangnick, Rangnick mipango, founder of the so called gegenpressing style of football.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha apiaCr7 mnyamaaaa, mchezaji pekee aliyeleta ballon dor UingerezaView attachment 2035017
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado namtetea kichogo, monaco aliikuta kwenye hali mbaya kinoma, timu imeuuza wachezaji wa kikosi cha kwanza kama 7 hivi unategemea nini, jardim mwenyewe ilimshinda, ye akawa anaisuka upya kabla ile kashfa kumuondoaMonaco ilimshindaa,Ya Arsenal ndo anayaona![]()
Tutakupa taarifa nduguMB zimeisha za kuangalia mechi sasa kilichobaki ni kulinda uzi
Mfano timu kama Newcastle kwa sasa haiwezi mtaka mtu kama Haaland ingawa ina pesa so itachukua mtu kama Lacazette au Martial au Bale.Hii timu tunawachezaji wakawaida sana hawa wote akina odegaard sijui partey sijui xhaka,nawatoto hawa akina martineli sijui Saka hutuwezi kuja kushindana na timu zilizo strong .tubaki tu kuipenda timu kwakua tumetoka nayo mbali huku tukiombea kucheza champions league kujiongezea thamani na kuvizia hivi vikombe vingine kama FA na Carabao.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app