Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal hua hatuna kawaida ya kushinda Anfield.

Ni miyeyusho ila ndiyo ukweli.

Kikosi chetu kwa sasa kina Tavares, Ramsdale, Lokonga, Emile na Tomiyasu ambao wanadisplay mentality ya ushindi. Kama leo wakija na mentality hii na wakaambukizwa wachezaji watatu wengine then we have got a chance.

Liva atamiliki mpira. Imekua hivyo tangu alivyomaster gegenpress wakicheza na timu zingine hua hawamiliki sana mpira coz wenzetu wengine hawahofii kusogea mbele.

Hapa ndiyo nikasema Renato anahitajika.

Hawa wakina Ramsdale watatufaa for the time being. Leo ni kujaribu kumkanyaga kuku.
 
Eh Mwenyezi Mungu tunaomba usikie maombi haya, na Utupatie ushindi katika mechi yetu dhidi ya Liverpool. Amen
 
Naona mnapelekewa moto kweli kweli. njooni tuangalie mpira majiraniiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom