+ William Saliba.
TAVARES atakuja kusumbua sana kwenye EPL , ni fullback wa kisasa mwenye skills, strength na pace.
Kinge Kama kingeWhat a save from Ramsdale. It's going to be the game decider. A Rare Gem he's becoming. Great Play thus far but there's room for improvement especially with our passes.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila Cavan hakuna tishio mbele paleKosi la leo.View attachment 1996158
Ni vizuri upo hai. Ilidhaniwa umejinyonga kutokana na kukerwa na matokeo ya united.Nasikia mashabiki wa Arsenal sikuhizi mumeanza kunenepa?
Darius RR mzee uko wapi?
Pole bro. Ila ukiwa na nafasi tukutane kwenye draftNipo Jombaa, mambo yamebana kitaa
Pole bro. Ila ukiwa na nafasi tukutane kwenye draft
Nimerudi. Sikua online kitambo kidogoUmerudi? Maana ulikimbia
Matokeo yana kera kwakweli, ila mashabiki wa Man United hatuna utamaduni wa kujitia kitanzi pindi timu yetu ikiwa inafanya vibaya, tabia hiyo mnayo mashabiki wa Arsenal, siunakumbuka kilicho tokea Kenya?Ni vizuri upo hai. Ilidhaniwa umejinyonga kutokana na kukerwa na matokeo ya united.
Sikumbuki. IlikuajeMatokeo yana kera kwakweli, ila mashabiki wa Man United hatuna utamaduni wa kujitia kitanzi pindi timu yetu ikiwa inafanya vibaya, tabia hiyo mnayo mashabiki wa Arsenal, siunakumbuka kilicho tokea Kenya?
Sikumbuki vizuri,ila nahisi ni baada ya kupoteza fainali na Barcelona, mashabiki wawili tena wafamilia moja walijitia kitanzi baada ya Arsenal kupoteza fainali ile.Sikumbuki. Ilikuaje
Nakushauri ungejikita zaidi kwenye kuchimba madini, familia inakutegemeaSikumbuki vizuri,ila nahisi ni baada ya kupoteza fainali na Barcelona, mashabiki wawili tena wafamilia moja walijitia kitanzi baada ya Arsenal kupoteza fainali ile.
Hiyo ilitokea Kenya.
Mashabiki wa Arsenal uvumilivu ni mdogo pindi timu yao ikifanya vibaya, mfano mtu kama Pen killer kaamua kuamia Man City, wengine humu, mfano Dullar Jr timu ikifanya vibaya hukimbia jukwaa na wengine mfano Computer Arsenal ama Wacha 1 wameamua kubadili I'd.
Hiyo ni tofauti na mashabiki wa Man United, timu inafanya vibaya lakini tunaamini "ni mawimbi tu" yatapita na chombo kitakaa sawa.
Ukikatiza kwenye jukwaa letu ni moto, mijadala inaendelea kama zamani utadhani tunaongoza ligi vile.
Mijadala ya Ole Out 😅😅😅Sikumbuki vizuri,ila nahisi ni baada ya kupoteza fainali na Barcelona, mashabiki wawili tena wafamilia moja walijitia kitanzi baada ya Arsenal kupoteza fainali ile.
Hiyo ilitokea Kenya.
Mashabiki wa Arsenal uvumilivu ni mdogo pindi timu yao ikifanya vibaya, mfano mtu kama Pen killer kaamua kuamia Man City, wengine humu, mfano Dullar Jr timu ikifanya vibaya hukimbia jukwaa na wengine mfano Computer Arsenal ama Wacha 1 wameamua kubadili I'd.
Hiyo ni tofauti na mashabiki wa Man United, timu inafanya vibaya lakini tunaamini "ni mawimbi tu" yatapita na chombo kitakaa sawa.
Ukikatiza kwenye jukwaa letu ni moto, mijadala inaendelea kama zamani utadhani tunaongoza ligi vile.