Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna tatizo mzee, itakuwa nilikuelewa tofauti.
 
Ebwanaaa eeeee acha kutalk shit that's why Arsenal inaonekana timu ya wajinga hivi kwa akili timamu mtu unakaa unasimamisha shingo na unasema Holding ni defender?let's be honest kwa Big team kama Arsenal haitakiwi kuwa na players kama Holding eti ndio defender wa kutegemewa players kama Nketiah Holding Elneny Saed hawatakiwi kukaa hata benchi imagine wamekuja watoto kama Saka na Smith Row ndani ya Muda mfupi wamekuwa tegemeo and think Mari alivyochomesha games kibao za Arsenal za ligi na friendly then you stand and say naye ni beki?
 
kunya boga
Kila mtu anaruhusiwa kutoa maoni yake.

nahisi wewe ni yule jamaa alikuwa anajiita MILANGOMITATU
 
Computer uko on board au la? Hebu clear doubts ili dark moments zikija tuwe tunaelewana.
 
Mkuu najua ujinga sio sifa mbaya ila nadhani ungeonyesha ujinga wangu kwa kufanya analysis za holding na pablo mari kuwa average player kisha uhusanishe na nafasi wanazocheza. Alafu mwisho njoo na hitimisho la kichezaji ili watu tukuelewe na mimi nonekane kweli mjinga vinginevyo unatakiwa ufanyiwe mental examination ili tujue mental status yako maana yaweza kuwa una mental illness
 
kunya boga
Kila mtu anaruhusiwa kutoa maoni yake.

nahisi wewe ni yule jamaa alikuwa anajiita MILANGOMITATU
Who is milango mitatu?I don't know him or her,let me tell you one thing kwa akili ya kawaida unataka kusema Holding Mari and others ambao nimewamention hapo awali wanastahili kuchezea big team kama Arsenal?think kisha jibu ,hao wachezaji wanatakiwa wachezee Newcastle Norwich Leeds huko ila kama unataka kuqualify top 4 au kuwa bingwa kabisa hao sio wachezaji wa kusema watakupa ubingwa wa EPL katika mechi 38 and that's why Arsenal imeishia kuwa average team sababu ya kuwa na average players sababu unasema ohh alikuwa anacheza vizuri akiwa na Luiz but wametupa matokeo ya aina gani?miaka yote ya kuichezea Arsenal EPL wameoffer nini?tatizo hao wachezaji hawana consistency ukiangalia Chelsea Liverpool Manchester City wanagombania EPL sababu ya kuwa na wachezaji wenye consistency ukianzia golini hadi kwa forwards wao hvyo ni muda wa Arsenal kuachana na players kama hao iweze kufanikiwa that's it
 
Spurs wameachana na Nuno.

Hii timu ilimtimua Jose ikafanya mazungumzo na Conte masharti ya Conte yakawa ni kuandaa pesa ilik kuchukua trophy yoyote soon. Spurs wakagoma.

Wakamchukua Nuno.

Kisha wanashangaa ni kwa vipi timu yao ipo ilipo? Kutokubaliana na Conte juu ya trophy nafikiri ni kiashiria cha kwamba wao wamejiandaa na project ya muda mrefu na wamemuamini Nuno.

Mmiliki wa Spurs na wa Arsenal wanashare zile tabia za kufitinisha kocha na mashabiki ili kuziba tatizo halisi ambalo ni mmiliki.
 
unajua john stone bado yuko man u?
 
Hii ligi ya EPL next season itakuwa ni hatari, Conte, pep, klopp, Tuchel, Mikel, Fonseca(Newcastle), Potter, Ole. Ni vita ya Matactics na Matransition.
 
eti holding na mari eti ni ukuta wa kutegemewa... arteta mwenyewe ameona uwezo wao ni carabao... holding katuchoma game kibao na huyo mari
 
eti holding na mari eti ni ukuta wa kutegemewa... arteta mwenyewe ameona uwezo wao ni carabao... holding katuchoma game kibao na huyo mari
Holding na Mari walideliver.

Siyo ukuta wa kutegemewa ila hawasiti kufanya kazi.

Holding alikua regular msimu uliopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…