Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu, Tammy Abraham ni mchezaji mzuri , Yaani unaweza kuquestion kila kitu kuhusu Arteta but not his talent ID, Tomiyasu 18m, Nuno 8m, Lokonga 18m ila kazi unaiyona.
 
Mkuu, Tammy Abraham ni mchezaji mzuri , Yaani unaweza kuquestion kila kitu kuhusu Arteta but not his talent ID, Tomiyasu 18m, Nuno 8m, Lokonga 18m ila kazi unaiyona.
Tammy na Lewin hua hawana msaada timu inapocheza na timu zinazopaki basi. Niliwahi kusema na narudia kama upo tayari kumpa chansi Tammy kwanini usimpe hiyo chansi Folarin, Martinell au Nketiah?
 
Tammy na Lewin hua hawana msaada timu inapocheza na timu zinazopaki basi. Niliwahi kusema na narudia kama upo tayari kumpa chansi Tammy kwanini usimpe hiyo chansi Folarin, Martinell au Nketiah?
nketieh alishapewa nafas sana akavurunda, same to balogun kipind laca auba n ketiah ni injury...akaonekana hana msaada


tammy yupo vzr zaid ya nketiah,balogun,

martinel majeruhi yamemuandama huyu ndie wakupewa nafas,aliwahi kupewa auba aliumia akatubeba
 
Utakua humjui Victor Valdes.

Alionekana kipa mzuri kumbe ukuta wa kina Puyol na uwezo wa Barca kumiliki mpira ulikua unambeba. Alivyoenda United nini kilifuata? Same na Allison.
ramsadale kama ulimkataa awali usione aibu kumkubali...wengi wametubu ,mlimtaka onana ,scout ikagoma, chaguo la arteta ni huyo dogo na habahatishi kwa taarifa tu,hadi sasa hakuna goli alilofungwa bila errors za viuongo au beki
ulishajiuliza shefflied walioshuka daraja kwanini wali demand paun million 40?

dogo kwa mapenz yake na arsenal ndio ikapungua had paun million 30,
 
Ramsdale hayupo kwenye top list ya shot stoppers. Huyo Ederson yupo na Sanchez yupo.
unatudanganya au hukumkubali dogo ,now unaogopa kulamba matapishi yako,
huyo dogo alikuwa timu za kawaida lkn national team anaitwa

ulishajiuliza why bei yake ilikuwa paun million 40? still he is 23 yrs old
 
TOMIYASU ni type ya beki arteta aliyekuwa anamtaka...kwanza awe anabaki nyuma kuunda back 3

anayeruhusiwa kupanda ni LB tu.... bellerin kubaki kama CB alifeli ,kuanzia 1vs 1, aerial duel ,


Tomiyasu majukum yake anayatekeleza vzr sana na bado yuko ktk perfomance nzr kwasababu tomiyasu yy majukumu yake ni ulinzi tu na sio kushambulia so LB wetu nuno au tierney ndio wanatumika kushambulia na tomi anajenga ukuta ( gabriel, white na yy ) kipindi arteta alipo mtumia belarin ilikuwa tunaruhusu magoli mengi tierney na bellarin walikuwa hawapo nyuma na tunabakia na beki wa2 tu
 
Pablo Mari yuko vizuri. Am sure atapambania namba.

Mimi niliamini msimu huu Saliba atakuepo loan deal aliitumia kuprove Arteta alikosea.

Umewataja wakina Saliba. Chambers umemkaushia ๐Ÿ˜…
pablo mari, holding ni average CB ,ilikuwa swala la muda tu waende benchi wasubir carabao na FA, baada ya luiz kuondoka tulihitaji ball playing defender, unapobaki na saliba ambaye huna uhakika kama epl itamkubali , na saliba sio ball playing defender , kilichomfanya arteta amsajiri ben white kwa 50 alihitaji ball playing defender mwenye uwezo wa kuanzisha mashambulizi,
 
onana ukiacha ule msimu ajax anafika semi fainal ucl,huku akifungwa pia magoli yakawaida, kipi hasa kingine alifanya,maty Ryan ni mzuri as backup ,tungeweza kumchukua free kama ana sifa unwzosema hapa, kumbuka alikuwa arsenal loan, mkataba umeisha akiwa arsenal hawakumuhitaji, kama kweli ana sifa hizo usemazo angebakizwa
 
? Wakati Nketiah anapafom europa haukua attention.
 
Sijawahi sema simkubali ila nilisema pesa iliyotumika ni nyingi.

Na mpaka muda huu nasema pesa iliyotumika ni nyingi. Simply kwakua ni home grown Mat Ryan akakachwa na Onana akakachwa.
 
holding na mari hao ilikuwa swala la muda tu kuondolewa fairst team, na akirud saliba , mmoja wapo atafute pa kwenda, beki gani zinakaba kwa kurudi nyuma , mipira ya juu ha wawezi kuokoa, kama unamfatilia arteta utaona ilikuwa swala la muda tu kuwaondoa hao mizigo... holding, bellerin niliona hadi kichekesho glearish akiwa na mpira wanakaba kwa kurud nyuma, sterling anafunga goli la kichwa mbele ya holding kweli? utafunga hivo kwa tomiyasu au kwa Gab na BEN?

na kuhusu tomiyasu wala hafosiwi , huyo ni RB,RWB,CB, Arteta alihitaji RB mwenye tabia za Cb , ni mrefu, ni anacheza sana aerial duel, mtata 1vs 1, Angalia alichomfanya SON vs totenham, kamfatilie Seria A, bolgna vs juve, alivyokuwa anamalizana na CR7, 1VS1

Angalia bellerin vs son, kina grealish au aerial duel elivyokuwe ovyo....

Arsenal kwenye kuanzisha mashambulizi hutumia shape ya " ๐—ฎ๐˜€๐˜†๐—บ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ๐—น " na hii inamuhitaji mtu mwenye sifa za TOMIYASU,

kwamba ....Tomiyasu ambaye beki wa kulia hapandi juu anabaki nyuma na kutengeneza mabeki watatu ( Tomiyasu, White na Gabriel ) huku upande wa kushoto Tierney/NUNO anapanda juu na kuwa kama winga ...akifanya hivyo Smith Rowe anaingia ndani kutengeneza namba 10 wawili yeye na Odegaard au lacazetti kwenye 4-4-2 hii anyoitumia sasa arteta , wakati Saka anabaki pembeni kabisa kudumisha mapana ya timu . Tierney akisogea juu , Xhaka anaibia pembeni kidogo kuwa kama beki wa kushoto wa dharula ...lakini wakipoteza mpira wanarudi kama kawaida ( 4-2-3-1 ) au 4-4-2..
 
Holding na pablo mari sio average player mkuu sema kuna mfumo haukumatch huko nyuma ndo maana uliona km ni average player. Ngoja nikwambie kitu, ukiwa na beki wa kati wanaofanana siku zote ni ngumu sana kufanya vzr hasa wanapokuwa wanashambuliwa. Mfano ukiwa beki mkabaji huwezi kuwa mzuri kwenye kuanzisha mashambulizi kwa kuwa ukianzisha mashambilizi ujue eneo lako linabaki wazi kwahiyo ukiporwa mpira hakutakuwa na organization nzr walinzi wa pembeni pamoja na kiungo mkabaji maana yake lile gep uliloacha lzm lionekane.

Sasa kilichokuwa kinaonekana kwa mari na holding pia kilikuwa kinaonekana kwa Gabriel na holding au Mari na Gabriel hiyo haikuwa kwa ubovu wa hizo beki bali muunganiko mbovu wa beki za pembeni na kiungo mkabaji. Kwahiyo tulikuwa kukipandisha mashambulizi unakuta beki za pembeni zote zimepanda hivyo tukiporwa mpira wakabaji wanakuwa wachache maana full back zote zinakuwa zimepanda na speed ya kurudi kuziba hakuna lakini sasa hivi timu ikipanda bado utaona utaona beki watatu na kiungo mmoja wamebaki sehemu sahihi na kwa hali hata ukimpanga Holding au Mari au Chambers wote watafanya vzr lkn pia usisahau wakati timu iko hovyo beki aliekuwa na nafuu zaid ni Holding
 
unatudanganya au hukumkubali dogo ,now unaogopa kulamba matapishi yako,
huyo dogo alikuwa timu za kawaida lkn national team anaitwa

ulishajiuliza why bei yake ilikuwa paun million 40? still he is 23 yrs old
Mchezaji kua na thamani ya juu haimaanishi ndiyo ana kiwango kikubwa. Notice kwamba thamani ya mchezaji aliye sokoni huamuliwa na timu inayommiliki kwa kuzingati mkataba uliobaki, umri wa mchezaji, utaifa, ligi anayotoka na potential.

Kepa kanunuliwa 72M Mendy amenunuliwa kwa 25M kwa mpaka tulipo nani anaonyesha kiwango?

Hoja ya kuitwa timu ya taifa ina mashiko ila siyo kama unavyoiwasilisha hapa as at one point mchezaji haitwi ili kupata game time.
Kipa namba tatu wa Brighton aliitwa timu ya taifa ya Spain ili kua kipa namba 2 na kipa namba moja ni wa Villarreal (nafikiri) siyo De Gea.
 
Nilishaelezea ishu ya Ryan. Ukiangalia vizuri utakuta.
 
Holding na Mari ni average!?

Umeangalia mechi ngapi za hii partnership?
 
bei ya kepa ilikuwa euro million 18, kilichowafanya chelsea walipe 72 ni buyout clause si kingine, baada ya miez miwili mbele madrid walishajiandaa kumchukua kwa 18 tu

hapa namzungumzia kipa aliyetimu ambayo kila mtu anaona mbovu na imeshuka daraja..

kepa alikuwa timu nzuri compared na rams,

kipa ambaye ameshuka daraja na anaitwa natinal team unadhan masiala ? unadhani ana nini cha ziada?acha utani na kazi za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ