Hivi ukitukanwa utachukia?.Arsenal ilipokuwa ikichukua makombe timu yako ilikuwa wapi?.Duh, timu ishakufanya uehuke. Sasa povu lote hilo la nn. Swali ni, mna muda gani mmechukua epl!?
Ndg ogopa matapeli leceister ,westham,everton hawawezi kuiacha team mbovu ya arsenal iwe juu yao ,atapambana na villa &spurs nafasi ya saba ,na nikiwaza vizuri zaidi nafasi ya saba Villa anaweza kuatamia .Sasa Pale TOP 4 utamtoa nani ndugu yangu?
Chelsea - Title contender
Liverpool - Title contender
Man city - Title contender
Man utd - Top 4 ni must kwao ijapokuwa wanacheza kimasihara
Nadhani mjaribu kupambania EUROPA
Leicester city
Everton
Westham
Arsenal
Aston villa
Spurs
Hapo kwenye Best midfielder sasaMwana anatupia tu huko Ghana, The best midfield in England, only Soumare & Ndombele can match his gameView attachment 1972417


Mbona tunapenda sana wachezaj underground hawatatufkish popteDogo anaitwa Nao lang anacheza Club brugge a dutch player LW; tetesi zinaonesha Arsenal wanamtaka January analeta Competition and rotation kwa Gabriel Martinelli, hii inaonesha safari ya Nicolas pepe imeiva.
Mikel Arteta sets this team up himself. #Coyg
View attachment 1975677
Dogo anaitwa Nao lang anacheza Club brugge a dutch player LW; tetesi zinaonesha Arsenal wanamtaka January analeta Competition and rotation kwa Gabriel Martinelli, hii inaonesha safari ya Nicolas pepe imeiva.
Mikel Arteta sets this team up himself. #Coyg
View attachment 1975677







Mkuu, Underground kwa maana ipi, kiumri au mchezaji sio proven?Mbona tunapenda sana wachezaj underground hawatatufkish popte
Unazngua. Ivi mchezaj kam Lokonga unategemea upate nn kutoka kwake. Maan me naon kaja kukuza kiwango chake arsenal. Kulkuwa na uwezkan wa kupata Sign ya mtu kam Madson Bissouma CamavingaMkuu, Underground kwa maana ipi, kiumri au mchezaji sio proven?
Kama unaongelea proven player basi ujue Kwenye mpira hakuna kitu kama icho siku hizi, Bukayo Saka na Raheem Sterling(proven) kwa sasa ungemchukua yupi?
Kwenye football kinacho-matter ni Character, quality na age profile.
Haijakaa sawa kuwadisrespect hawa wachezaji wadogo mfano Sambi Lokonga, kwa maana in the coming days utakuwa na double Pivot ya Patino na Lokonga kama ilivyo kwa Xhaka na Partey.Unazngua. Ivi mchezaj kam Lokonga unategemea upate nn kutoka kwake. Maan me naon kaja kukuza kiwango chake arsenal. Kulkuwa na uwezkan wa kupata Sign ya mtu kam Madson Bissouma Camavinga
Lakini sio kwa mtu kama Lokonga and up to now hajaonyesha impact yoyote Arsenal and that's why kwa miaka ya karibuni Arsenal haisogei mbele inashiriki Premier league kama Newcastle wanavyoshirikiHaijakaa sawa kuwadisrespect hawa wachezaji wadogo mfano Sambi Lokonga, kwa maana in the coming days utakuwa na double Pivot ya Patino na Lokonga kama ilivyo kwa Xhaka na Partey.
Bissouma ni similar profile na Partey huwezi kuwa nao wote, Arsenal tulihitaji DLP kama Locatelli ingetokea Xhaka ameuzwa. Xhaka as a DLP... his role is to protect defense in the first line of press during build up play, Hausajili mchezaji sababu ni mzuri, unasajili mchezaji kwa mahitaji uliyonayo mkuu.
Lokonga kaja kujifunza from the best na kumsucceed Partey baadae, midfield ya Arsenal ni pivot ya Partey & Xhaka, una swali jingine?Lakini sio kwa mtu kama Lokonga and up to now hajaonyesha impact yoyote Arsenal and that's why kwa miaka ya karibuni Arsenal haisogei mbele inashiriki Premier league kama Newcastle wanavyoshiriki
4-2-3-1 option ni pivot ya Elneny na partey, Elneny is likely to start ili tumzime yule mtoto wanamuita GallagherPREDICTED 11 TODAY: Ramsdale; Tomiyasu, White, Gabriel, Tierney; Partey; Smith Rowe, Odegaard; Saka, Aubameyang, Pepe.