Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo tunachofanya tunawaacha watuletee mpira kwenye robo yetu,Tukipata mpira tunatawanyika fasta kwenda kushambulia.

Arteta akiacha uoga naona magoli mengine tunaenda kuyapata.
 
Sielewi kinachoendelea. Sijui ni sisi tumekuwa vizuri ghafla au ni Spurs wamekuwa wabovu ghafla wakasau kuhusu NLD.

P.S nani analink ya stream nzuri. arsenalist.com naona inazingua tukiwa tunaongoza hivi
 
Back
Top Bottom