Amen na iwe hivyo, apigwe zote tuanze league upya.The telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
Jumapili hatuchezi na ChelseaThe telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
Nilimaanisha jumapili ua juzi!.. Nextweek tuna man cityJumapili hatuchezi na Chelsea
OkayNilimaanisha jumapili ua juzi!.. Nextweek tuna man city
Sisi kama mashabiki wa Arse88 bado tuna imani na Lord Arteta.The telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
Vipigo vimemchanganya mkuuJumapili hatuchezi na Chelsea
Tumuunge mkono bwana Arteta ..sisi arse8 bado tuna muhitaji sana huyu ndo kocha atayetutoa Hapa tulipo.Sisi kama mashabiki wa Arse88 bado tuna imani na Lord Arteta.
#Arteta mitano tena.
Kwel kabisa mzee, tunaipenda team yetu arsenal, binafsi arteta akiondoka na akija Conte nitaumia sana yani ni bora lampard aje kuliko Conte.Tumuunge mkono bwana Arteta ..sisi arse8 bado tuna muhitaji sana huyu ndo kocha atayetutoa Hapa tulipo.
InArtetaWeTrust..
Ukilogwa na sisi mashabiki wa Arsenal tutakuwa tumekuonea.?Reporter π£οΈ We heard You Want To Join Arsenal This Season or Next,how True?
Halaand π£οΈ Arsenal? Yes,that's true,We All Players and the fans really supposed to join Arsenal In PRAYERS π this season and next season
Reporter π£οΈ No,I mean play for them
Halaand π£οΈ I'm Not Too Young To Retire, Retirement Will Be The Best Option π₯Ίπ₯΄π₯΄
π
Labda Conte wa mbagala. Yaani Conte aje arsenal kuharibu CV yake?The telegraph wameandika kuwa Arteta kapewa mechi tano na board ya Arsenal... Kwa jinsi nilivyoiona timu inacheza jumapili vs chelsea sijui kama atapona.. Mke wake nae aliwanyooshea mashabiki dole la kati.. Mashabiki kwa hasira wamejaza PM ya binti wa edu kwa matusi... Kimsingi Edu asipokuwa makini atafungasha virago kabla ya hizo mechi tano!.. Conte anapewa nafasi kubwa kumrithi.. Ngoja tuone!
Duuuuuh!!!!!!!Hawa jamaa waloanza kushabikia mpira kutokana na BETTING bhana!!!!Labda Conte wa mbagala. Yaani Conte aje arsenal kuharibu CV yake?
Kwanza dirisha litakuwa limefungwa. Kumpata Conte sahauni.
Usajili mpyaDuuuuuh!!!!!!!Hawa jamaa waloanza kushabikia mpira kutokana na BETTING bhana!!!!
Eti dirisha litakuwa limefungwa
Jamaa anafikiri makocha nao wana dirisha la usajiri!..Duuuuuh!!!!!!!Hawa jamaa waloanza kushabikia mpira kutokana na BETTING bhana!!!!
Eti dirisha litakuwa limefungwa
Hamia chelseafc upate raha uondoe stress maisha yetu tu yanatupa stress na mpira ukupe stress kweli?..chelsea&nyumbu..doh!!..ni suala la muda..hizo kejeli na dharau tunashukuru...