Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mnacheza soka zuri ila ugonjwa ni mkifika muda wa kushambulua hampo shapu aise.
 
Sasa usiposhabikia Arsenal utashabikia timu gani? Oil Fc au?
 
Ushakula viwili na unaweza ukaongezwa second half na Manchester City atakutia aibu jumamosi watu tunataka furaha hatutaki stress ni kama una demu anakupa stress ya nini kumnganania unamtupa kule mbali unaopoa mwingine
duuh
mbona kama maneno ya vibarazani
 
Nikiangalia livescore naona timu yetu inasumbuliwa na kukosa attack minded forwards au wenzangu mnaoangalia mechi mnaonaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…