Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,534 Reaction score 81,267 Aug 13, 2021 #99,881 Arsenal mlikuwa mnaongoza league mda si mrefu lakini ndani ya dakika chache mmeporomoka kutoka nafasi ya kwanza mpaka ya mwisho. Utafikiri tupo kwenye gwaride. Nyumaaa geuuuukaaaaa. Wa kwanza anakuwa wa mwisho.
Arsenal mlikuwa mnaongoza league mda si mrefu lakini ndani ya dakika chache mmeporomoka kutoka nafasi ya kwanza mpaka ya mwisho. Utafikiri tupo kwenye gwaride. Nyumaaa geuuuukaaaaa. Wa kwanza anakuwa wa mwisho.
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,213 Reaction score 74,026 Aug 13, 2021 #99,882 Nimekimbilia kucash out mapema sana maana dah Getafe naye kapata red sidhani kama kuna goli litaongezeka
Nimekimbilia kucash out mapema sana maana dah Getafe naye kapata red sidhani kama kuna goli litaongezeka
johrobby JF-Expert Member Joined Jan 7, 2017 Posts 1,066 Reaction score 2,252 Aug 13, 2021 #99,883 Brentford kesho wanakuja kuandika kwenye ule uzi pendwa wa kula tunda kimasikhara jins walivyokula tunda bila kuimbisha manzi
Brentford kesho wanakuja kuandika kwenye ule uzi pendwa wa kula tunda kimasikhara jins walivyokula tunda bila kuimbisha manzi
NO04 JF-Expert Member Joined Jun 29, 2015 Posts 1,754 Reaction score 1,246 Aug 13, 2021 #99,884 mysterio said: Thamani aliyonunuliwa Pepe, inanunua kikosi cha brentford kinachoanza leo, na chenji inabaki Click to expand... .
mysterio said: Thamani aliyonunuliwa Pepe, inanunua kikosi cha brentford kinachoanza leo, na chenji inabaki Click to expand... .
NO04 JF-Expert Member Joined Jun 29, 2015 Posts 1,754 Reaction score 1,246 Aug 13, 2021 #99,885 mysterio said: Thamani aliyonunuliwa Pepe, inanunua kikosi cha brentford kinachoanza leo, na chenji inabaki Click to expand... ..
mysterio said: Thamani aliyonunuliwa Pepe, inanunua kikosi cha brentford kinachoanza leo, na chenji inabaki Click to expand... ..
NO04 JF-Expert Member Joined Jun 29, 2015 Posts 1,754 Reaction score 1,246 Aug 13, 2021 #99,886 mysterio said: Thamani aliyonunuliwa Pepe, inanunua kikosi cha brentford kinachoanza leo, na chenji inabaki Click to expand... ....
mysterio said: Thamani aliyonunuliwa Pepe, inanunua kikosi cha brentford kinachoanza leo, na chenji inabaki Click to expand... ....
NO04 JF-Expert Member Joined Jun 29, 2015 Posts 1,754 Reaction score 1,246 Aug 13, 2021 #99,887 mysterio said: Thamani aliyonunuliwa Pepe, inanunua kikosi cha brentford kinachoanza leo, na chenji inabaki Click to expand... .....
mysterio said: Thamani aliyonunuliwa Pepe, inanunua kikosi cha brentford kinachoanza leo, na chenji inabaki Click to expand... .....
johrobby JF-Expert Member Joined Jan 7, 2017 Posts 1,066 Reaction score 2,252 Aug 13, 2021 #99,888 Castr said: Nimekimbilia kucash out mapema sana maana dah Getafe naye kapata red sidhani kama kuna goli litaongezeka View attachment 1891443 Click to expand... usijifiche kwenye mikeka tunahabar zako
Castr said: Nimekimbilia kucash out mapema sana maana dah Getafe naye kapata red sidhani kama kuna goli litaongezeka View attachment 1891443 Click to expand... usijifiche kwenye mikeka tunahabar zako
Kitoabu JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 11,079 Reaction score 12,319 Aug 13, 2021 #99,889 Arsenal ileeee maskini ya mungu, dah! Yale ya Sandaland hatimaye yaikumba Arsenal. Arsenal haina misimu mitatu ndani ya EPL, shika hii kauli.
Arsenal ileeee maskini ya mungu, dah! Yale ya Sandaland hatimaye yaikumba Arsenal. Arsenal haina misimu mitatu ndani ya EPL, shika hii kauli.
Camilo_Cienfuegos JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 11,378 Reaction score 15,385 Aug 13, 2021 #99,890 Castr said: Baada ya hapa utafanyika usajili miyeyusho wa kuwakalisha watu kimya ambao hautakua usajili wa kuaddress tatizo kisha mambo yaleyale yataendelea. Click to expand... Hii ndio inaoonyesha kwamba coach na direct of football ni takataka. Timu kwenye preseason haijashinda hata mechi moja, still hawataki kununua wachezaji
Castr said: Baada ya hapa utafanyika usajili miyeyusho wa kuwakalisha watu kimya ambao hautakua usajili wa kuaddress tatizo kisha mambo yaleyale yataendelea. Click to expand... Hii ndio inaoonyesha kwamba coach na direct of football ni takataka. Timu kwenye preseason haijashinda hata mechi moja, still hawataki kununua wachezaji
Peramiho yetu JF-Expert Member Joined May 25, 2018 Posts 5,299 Reaction score 15,028 Aug 13, 2021 #99,891 Mbooo imetembea Sana kipande hiki Had maji mtayaita mma Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mbooo imetembea Sana kipande hiki Had maji mtayaita mma Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Pweza Boy JF-Expert Member Joined Dec 30, 2017 Posts 1,397 Reaction score 3,185 Aug 13, 2021 #99,892 ***** hatuna timu! Na msimu huu tunamaliza nje ya Top 8
kilyabanu mkono Member Joined Oct 4, 2019 Posts 48 Reaction score 65 Aug 13, 2021 #99,893 Sh, 2 fc wanafelj sana
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 44,163 Reaction score 104,756 Aug 13, 2021 #99,894 Arsenal mtaniua nyie πππ
Kitoabu JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 11,079 Reaction score 12,319 Aug 13, 2021 #99,895 johrobby said: usijifiche kwenye mikeka tunahabar zako Click to expand... Jamaa una roho mbaya waye!!
johrobby said: usijifiche kwenye mikeka tunahabar zako Click to expand... Jamaa una roho mbaya waye!!
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,213 Reaction score 74,026 Aug 13, 2021 #99,896 johrobby said: usijifiche kwenye mikeka tunahabar zako Click to expand... Wiki mbili nyuma nilisema tunaweza kufungwa hii game na jana nikarudia kusema hivyo hivyo kwenye uzi wa Maghayo Haya matokeo hayajanishtua.
johrobby said: usijifiche kwenye mikeka tunahabar zako Click to expand... Wiki mbili nyuma nilisema tunaweza kufungwa hii game na jana nikarudia kusema hivyo hivyo kwenye uzi wa Maghayo Haya matokeo hayajanishtua.
Pool Table JF-Expert Member Joined Jan 30, 2020 Posts 1,680 Reaction score 2,891 Aug 13, 2021 #99,897 Okonko umeanza kunichosha Ucjar
Camilo_Cienfuegos JF-Expert Member Joined Sep 9, 2011 Posts 11,378 Reaction score 15,385 Aug 13, 2021 #99,898 Better we would have remained with Unai than this rubbish Arteta
C Chaos Master JF-Expert Member Joined Jul 7, 2021 Posts 636 Reaction score 1,318 Aug 13, 2021 #99,899 Tuchel building a team nobody wants to play against. Arteta building a team everybody wants to play against.
Tuchel building a team nobody wants to play against. Arteta building a team everybody wants to play against.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 44,163 Reaction score 104,756 Aug 13, 2021 #99,900