Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kutokana na mfukoko wenu kutoboka, ni kheri mukamchukua japo thamani yake haifikii kiasi hicho cha pesa.

Napenda Arsenal irudi kwenye ushindani kama zamani.
 
Mkuu Maddison unamkataatu ila kwa Arsenal ilipo fikia inahitaji mtu kama yeye ili murudi kwenye ubora wenu.
Mpira wa siku hizi umebadilika.

Vitu vitatu vinampa namba mchezaji.
1) assisst 2) kufunga 3) kuzuia goli kufungwa

Timu zinasajili kiungo au forward kwa kufuata mfumo wa xg (expected goals) kama uwepo wako uwanjani unaweza sababisha chochote basi wewe namba utapata.

Ndiyo maana unaona pamoja na yote ila Arteta sub yake kubwa ilikua willian na beki mpendwa alikua luiz.
Kwa kufuatisha xg Willian ni wa muhimu na Luiz ni wa muhimu.

Sasa maddison kwenye hiyo system hajai sana na hivyo kuondoa uhalali wa kumlilia na kugawa pesa ndefu. White juzi tu kasajiliwa ila kuna blocks nne amezifanya ambazo zinaithibitishia timu kwamba huyu ni mtu sahihi.

Akija tutajionea
 
Maddison would be open to move to Arsenal, Sky Sports wanareport

Wanafki njooni tena muone ukubwa wa Arsenal, watu wanaacha European football kwa ajili ya Gunners.

Auba
Pepe
Partey
Now, Maddison & Lautaro
Deal la lukaku likikamilika, msahau deal la lautaro
 
uwezekano wa kumsajili Maddison ni mdogo kwa sasa, nadhani 1:5, jamaa wanataka Pound 70m cash. kitu ambacho ni kugumu
 
Mtu mzima unamiliki Smartphone halafu hujui kuandika na haujisumbui kujua, inatia ukakasi sana.
aston vila wanamsajil bailey nyie et lokonga
mshuke daraja2 nyie matakataka ya london
 
Leicester ni wajinga sana, hilo takataka thamani yake sio kubwa kiasi hicho.
uwezekano wa kumsajili Maddison ni mdogo kwa sasa, nadhani 1:5, jamaa wanataka Pound 70m cash. kitu ambacho ni kugumu
 
Matakataka ya London naona mnaenda kupigwa kwa Madison
 
Matakataka ya London naona mnaenda kupigwa kwa Madison
Kuna kitu nafikiria, tunachoweza kutumia kwenye jukwaa letu la Arsenal, ambacho kitazifanya takataka kama huyu wasiwe wanaingia kwenye jukwaa letu kuonyesha ujinga wao. Stay put, naandaa modality.
 
We andaa tu, takataka kama ww ni buree kabisa.
Kuna kitu nafikiria, tunachoweza kutumia kwenye jukwaa letu la Arsenal, ambacho kitazifanya takataka kama huyu wasiwe wanaingia kwenye jukwaa letu kuonyesha ujinga wao. Stay put, naandaa modality.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…