Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mmeanza
IMG-20210709-WA0006.jpg
 
Tueleweshe, mechi ya kirafiki maana yake ni nini?
Mkuu tafuta timu nyingine ya kushabikia, hii Arsenal usitegemee itakaa sawa.
Nyinyi united mmeifunga barcelona mara ngapi katika mechi za kirafiki?
 
Nyinyi united mmeifunga barcelona mara ngapi katika mechi za kirafiki?
Kwani kwenye mashindano makubwa hatukuwahi kuwafunga?
Ushasahau alicho kifanya Paul, pale Nou camp mwaka 2008?

Unataka uniambie mulidharau game, sio?
 
Kwani kwenye mashindano makubwa hatukuwahi kuwafunga?
Ushasahau alicho kifanya Paul, pale Nou camp mwaka 2008?

Unataka uniambie mulidharau game, sio?
Hapana isipokua mechi za kirafiki hutumika kupima muunganiko wa wachezaji. Ndiyo maana hizi games hua hazina kikomo cha sub kwahiyo kikosi kizima kinaweza kupata namba

Mfano jana Arsenal kipa aliyekuepo ni Okonkwo na Macey.

Kingine hizi mechi hutumika kuvuna mashabiki, ndiyo maana utakuta timu kubwa ni mara chache kukutana katika mechi za kirafiki badala yake utakuta zinacheza na timu hujawahi zisikia.

Sijui kama umenielewa.
 
Hao wachezaji wenu wa mia mia ndio mnategemea wawape ubingwa? mna chekesha sana na tarehe 1 Agosti mna Chelsea.
Hapana isipokua mechi za kirafiki hutumika kupima muunganiko wa wachezaji. Ndiyo maana hizi games hua hazina kikomo cha sub kwahiyo kikosi kizima kinaweza kupata namba

Mfano jana Arsenal kipa aliyekuepo ni Okonkwo na Macey.

Kingine hizi mechi hutumika kuvuna mashabiki, ndiyo maana utakuta timu kubwa ni mara chache kukutana katika mechi za kirafiki badala yake utakuta zinacheza na timu hujawahi zisikia.

Sijui kama umenielewa.
 
Hapana isipokua mechi za kirafiki hutumika kupima muunganiko wa wachezaji. Ndiyo maana hizi games hua hazina kikomo cha sub kwahiyo kikosi kizima kinaweza kupata namba

Mfano jana Arsenal kipa aliyekuepo ni Okonkwo na Macey.

Kingine hizi mechi hutumika kuvuna mashabiki, ndiyo maana utakuta timu kubwa ni mara chache kukutana katika mechi za kirafiki badala yake utakuta zinacheza na timu hujawahi zisikia.

Sijui kama umenielewa.
Nimekuelewa mkuu.
 
Hao wachezaji wenu wa mia mia ndio mnategemea wawape ubingwa? mna chekesha sana na tarehe 1 Agosti mna Chelsea.
Arsenal hata awe mmbovu kama chupi la mtumba, lakini hafungwi na Chelsea.
Hiyo tareh 1 Agost utakuja kutoa maneno kama ya mashabiki wa Simba wanapo pakuliwaga na Wananchi.

Simba wakisha pakuliwa na Wananchi utawasikia " Tunatengeneza timu ya kuchukua ubingwa sio kuifunga Yanga" (kwa sauti ya puani) utadhani huo ubingwa ni wao tu ndio wamewahi chukua.
 
Jamani Arsenal, nini sasa hichi munafanya?
Sisi tunasajili Sancho, nyinyi munasajili Okonko sijui koko, alafu ndio museme munapigania ubingwa?
Na Arteta alivyo mpuuzi, heti katabasam kabisa utadhani kasajili mchezaji wa maana.

Nawapa misimu mitatu Arsenal munashuka daraja, haki ya mama.
Huyo dogo kapandishwa toka timu B. Dogo ana balaa hatari
 
Huyo dogo kapandishwa toka timu B. Dogo ana balaa hatari
Deal la Locatelli count it dead, deal la white 50/50 because of Albrighton demands, deal la Lokonga 99.9% done, amechelewa kutangazwa kama mchezaji wa Arsenal kwa sababu ya restriction za Covid-19. Most likely Willock is leaving because of Lokonga's arrival. Deal la Neves badobado. Maddson badobado kwa sababu Leicester wanataka hela ndefu, sijui kama itawezekana, lakini dogo namkubali sana.
 
Sawa tusubiri
Arsenal hata awe mmbovu kama chupi la mtumba, lakini hafungwi na Chelsea.
Hiyo tareh 1 Agost utakuja kutoa maneno kama ya mashabiki wa Simba wanapo pakuliwaga na Wananchi.

Simba wakisha pakuliwa na Wananchi utawasikia " Tunatengeneza timu ya kuchukua ubingwa sio kuifunga Yanga" (kwa sauti ya puani) utadhani huo ubingwa ni wao tu ndio wamewahi chukua.
 
Back
Top Bottom