Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Training ilitakiwa inaanza huku umekamilisha sajili kama tatu. Mpaka sasa hivi hata mmoja bado. mwishoni wata-panic na kuanza kutafuta, hapo ndio watapigwa hela ndefu.
Lokonga na Nuno tiyari, Ben white naye uhakika ngoja Euro imalizike tuone
 
Mzee, kumleta Locatelli, Maddison na White ni £150m+

Ngoja tuone sajili zitakuaje kama watakuja au tetesi tu, ila binafsi nahisi kuna major signings mbili au tatu this window
Reports coming out of Belgium claim Albert Sambi Lokonga will undergo his Arsenal today before sealing his transfer next week.
 
Matakataka aka Uchafu wa London
1625841781142.png
 
Next Sambi Lokonga na Baller mmoja Taylor-Hart katoka Hale end Academy
Katika hao team B kuna dogo anaonekana ni namba sita, yule ni dirty worker haswa, kila upande unamuona ana pumzi mid nzima anazunguka too bad timu za B wachezaji jezi zao hazina majina ila yule angekua promoted first team ingekua poa sana.

Mashabiki wamekua hyped na Miguel Aziz na Kiddo. Kiddo kwangu mimi namchukulia kama Yusuf Poulsen anajali sana show off kuliko matokeo.
 
Katika hao team B kuna dogo anaonekana ni namba sita, yule ni dirty worker haswa, kila upande unamuona ana pumzi mid nzima anazunguka too bad timu za B wachezaji jezi zao hazina majina ila yule angekua promoted first team ingekua poa sana.

Mashabiki wamekua hyped na Miguel Aziz na Kiddo. Kiddo kwangu mimi namchukulia kama Yusuf Poulsen anajali sana show off kuliko matokeo.
Pia kuna Omari Hutchinson (17) ana fujo kama zote, hawa madogo wa hale End ni super-talented wakiingia first team haraka kama Saka na Emilison wataturudisha to the glory days.
 
Back
Top Bottom