Kuna mamber mmoja muhimu sana ume msahau, anaitwa WACHA1, huyo jamaa alikua hapotei humu.Yaani uzi umepoa huu utasema sote tumepoteza simu na hatuwezi access JF.
mysterio ndugu yangu uko wapi??
computerarsenal
Will jr
DullyJr
Castr
isajorsergio
Hivi Arsenal muna tatizo gani, mbona wachezaji wengi hulazimisha kuuzwa?Uko sahihi. Tatizo yeye mwenyewe anataka kuondoka
Hivi manchester united mna tatizo gani, mbona wachezaji wengi hulazimisha kuuzwa?Hivi Arsenal muna tatizo gani, mbona wachezaji wengi hulazimisha kuuzwa?
Anza na Fabrigaz
Song
Helbu
Henry
Nasasa ni huyo Xaka zulu.
Tatizo nini nyie
Inasikitisha sana kwa kweli!.. Xhaka ni mchezaji wa kuanzia paund m25 hadi m35 hapo.. Kuna mapungufu makubwa sana kwenye management team ya ArsenalHahaha labda hakuna mtu wa kuset release clause ila ni ajabu, mimi nilitarajia dau lianzie 25M
Vipi kama ni mchezaji mwenyewe amelazimisha kuondoka,utalazimisha dau kubwa?.Hahaha labda hakuna mtu wa kuset release clause ila ni ajabu, mimi nilitarajia dau lianzie 25M
Kwa kawaida timu inaweza kudai dau kubwa kama mkataba wa mchezaji husika bado una maisha marefu na waliweka release clause inayohitajika kufikiwa.Vipi kama ni mchezaji mwenyewe amelazimisha kuondoka,utalazimisha dau kubwa?.
Renato Sanchez? Hahaha 😅 amewahi kucheza Swansea City alifanya nini? Amewahi kuwa Bayern akizungukwa na kikosi bora alifanya nini? Benfica amefanya nini?