Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Eti hii timu nayo inashindwa usajili na Aston villa dah!!
 
Hahahah halafu mkitoka hapa mnakuja kwenye uzi wa Chelsea
 
Hii inadhihirisha nyie ni matakataka kutoka London, sasa hadi Brighton kweli anawawekea ngumu kwenye hiyo ofa kweli. Aisee mnatia huruma sana, nasikia mna andaa ofa nyingine. Nyie ni takataka tu kama Buendia mlishidwa huyu ndio mtaweza kweli. Niwashauri tu kama mnataka beki pelekeni hiyo ofa kwa Burnley mkamchukue beki kisiki James Tarkowski.
 
Iwapo tutafanikiwa kuwapata Madison, Onana, White na Bisouma nina hakika msimu wa 2021/22 tutafurahi. Report from an impeccable source has told me KSE has given a green light to AFc to spend 250m pound on new signings.
 
Iwapo tutafanikiwa kuwapata Madison, Onana, White na Bisouma nina hakika msimu wa 2021/22 tutafurahi. Report from an impeccable source has told me KSE has given a green light to AFc to spend 250m pound on new signings.
Umemsahau Lokonga

kuna mtu alisema Arsenal na Arteta wanakuwa pamoja ni kweli kabisa, kocha anakomaa pamoja na wachezaji wake.
 
Umemsahau Lokonga

kuna mtu alisema Arsenal na Arteta wanakuwa pamoja ni kweli kabisa, kocha anakomaa pamoja na wachezaji wake.

Napenda sana kiungo cha Maddison, ile mashine tukiipata roho itafurahi, ingawa naye ana andamwaga na majeruhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…