Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Team Golden state Warriors ,msimu huu nafasi ya Champions
League ilikuwa ya Arsenal kabisa
Ni kweli hata mimi naamini hivyo.

Nikikumbuka VAR, red, penati, own goals ni kweli kabisa.

Ila unajua tukihesabu ushindi wetu tangu tuintroduce AM sisi ni wa pili kipoint? That means what Arsenal needed all along ni AM?
 
Kwa wenye akili ya Mpira acha tuendelee kupata upepo wa Beach na Heineken ya baridi presha za nini kwa timu mbovu kama ya Arsenal Nlisema kuangalia EPL leo ukitumaini Arsenal atakuwa kwenye Michuano ya Akili inahitaji uwe Kichaa fulani hivi(sorry for this) na baada ya dk 90 Mmejionea wenyewe Alamsiki
Msimu wa Arsenal kwenye EPL uliisha March 2021
 
Hizi mechi nlizozitaja ndio limekuwa kaburi la Arsenal this season bye bye Michuano ya Ulaya
 
EUROPA haziendi timu wachezaji wanaoliwa tigo
A season outside Europe is a blessing in disguise for this Arsenal side that is set to undergo a major rebuild this summer. The conference league is a total waste of our time. Zero prestige attached to winning it. No thanks, let's focus on the league and fight well for top 4.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…