Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilichokiona kwenu ni kwamba Pamoja na Arteta kuwa wa ovyo kingine kinachowaangusha burget ya usajili Abramovic amemuambia Thomas Tuchel atampa paund million 230 za usajili wa msimu ujao japo msimu Huu tumesajili kwa pesa nyingi pia, unajua kwanini Abrahamovic anamwaga Tena pesa nyingi? ni kwasababu ameona tuna kocha sahihi na atakaeipa mafanikio mengi Chelsea.
 
🤣🤣🤙🤙🤙🤙
 
London laughingstock. Sooner
 
Mimi nasema anaingia.

Nimescreenshot comment yako.
 
Ukitaka kichekesho kama hiki bonyeza 15200 # ok
Liva ilivyokua stable wakachukua UCL wakachukua ligi halafu ndiyo wakaja kupigwa 7 na Aston Villa.

Thom akasema timu yenu imeshakua stable na nyinyi mkatuambia timu ishakua stable. Hamjachukua chochote tangu mseme timu ipo stable na mshakula 5 za Westbromwich mshuka daraja.
 
Endelea kubishana wakati wenzio wana mipango na mpira na kuona makombe makubwa wanabeba wakati sisi tunabishania top 6 ,wenzetu wanawazia makombe na kupata chances za kuplay champions league
Wewe ndiye umesema haiingii top 6 ungesema kuhusu makombe ningetoa maoni yangu pia
 
Hahaha unataka awatrain Leo Leo halafu leo Leo wakacheze hahaha kwani ci mna Pepe, Willian na Luiz hawaezi hizi Mambo
kwanza ela ya Pepe mlishamalizaga kulipa?
 
Sema nyie Muna bahati Sana maana Kila msimu unapoanza huwa munakuwaga wa kwanza ..Sasa sijui inakuaje Tena munapotezaga hiyo bahati adi munakuja kushika nafasi za kindezi uko ..eti saiv munapambana mushike nafasi ya kumi
 
Kuna watu Wana dhambi
 
Tena ndo hivi tunaenda beba UEFA na FA basi Roman atamwaga mpunga was kufa mtu.
Tunaeza kuwa tishio kwa miaka kumi ijayo Tena.
#CFC
 
Unatufananisha sisi na looserfools ..kuwa Makini bwana mdogo
Kwani huyiogopi Chelsea?
#CFC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…