Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
MKUU..USIMLINGANISHE LAMPS NA VITU VYA OVYOArteta ni Lampard aliyechangamka isipokuwa ana nyota ya kambale/mtelezo hivyo hashikiki yani kila wakitaka kumfukuza wanaghairi.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
I SUPPORT FUTAAAAA HII KITUMODS delete hili jukwaa halina maana tena kwa sasa!nawaageni goodbye forever sababu hatuna cha kuongea kwa sasa
We Jamaa inamaana hata EPL hatushiriki? daaah...! Kweli Arsenal ni Jehanum ya duniani kabla ya kufa na kukutana na ile yenyewe haswa...MODS delete hili jukwaa halina maana tena kwa sasa!nawaageni goodbye forever sababu hatuna cha kuongea kwa sasa
TOKA UANZE KUISHABIKIA ARSENANE ULISHASHINDA MAKOMBE MANGAPI???Kocha anatumia formation ambayo tangu nianze kushabikia Arsenal haijawahi kutumiwa na yeye ndiye kaanza nayo leo siku ambayo anataka ushindi.
Say hello to 4 1 4 1
Partey Huyu mliyekuwa mnamsifia au tusubiri mwingine anakujaPartey akichukua mpira napata shock, kwamba lolote laweza tokea. Uwezo wake wa kufikiri unatia Shaka
Hii sio timu ndugu zangu. Ila Kronke poa tu yote maisha, Duniani tunapita tu
MASHABIKI WA ARSENANE WANAMUONA PARTEY KAMA POGBA, CEBALLOS KAMA BRUNO..NA HAPA NDIPO MNAPOFELI.Partey akichukua mpira napata shock, kwamba lolote laweza tokea. Uwezo wake wa kufikiri unatia Shaka
Ndio uwezo wachezaji wetu umeishia hapo msimu ujao hata Europa hatumo,Arteta hajatumwa bali ubahili wa wamiliki unaendelea kutugharimu.Narudia kukwambia ukiachana na Kroenke Arteta ametumwa kuja kuikandamiza Arsenal kiuthamani na mambo yote yale miaka 26 Arsenal haijawah kukosa nafasi ya kucheza michuano ya ulaya ila kwa Arteta tunaendelea kuhesabu dk
WALIKUWA WAPI BHANAA..ACHENI KUDANGANYANA, NUNUENI WORLD CLASS PLAYERS. ACHANENI NA WATOTO WA FORM FOUR HAO.Huko walipotoka mbona walikuwa wana ubora?Torreira Pepe Gabriel Tierney Xhaka Leno Partey hao wote huko walipotoka walikuwa bora sana why wamekuja kufia viwango vyao Arsenal?
Maisha yanaenda kasi sana yaan mwez wa 8 mwaka jana kwenye hilihili jukwaa tuliambiwa Partey ndo anakuja kukatamzizi wa fitna leo napita hapa Partey yuleyule anaonekana c chochote c lolote??Partey Huyu mliyekuwa mnamsifia au tusubiri mwingine anakuja
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nakuelewa sana broWakati lampard anafukuzwa Chelsea utaona ni jinsi gani Big teams zisipopata matokeo hazisiti kuchukua hatua ngumu ili kunusuru club but Arsenal mpaka sasa nashangaa Arteta bado unasema ana plan ya kumtumia Guendouz,Chelsea huyu mbovu leo anaingia championsleagueFinal sababu ni moja tu KOCHA ni mzuri na wachezaji aliokuwa nao Lampard na wakawa hawapati matokeo kwa Tuchel wameingia finalnilitegemea kuona huu ndio mwisho wake msimu huu sababu hana uwezo wa kuimanage Arsenal kwa mtindo huu acha tuhamie Manchester City tuondoe stress kama Arteta msimu huu nafasi atakayomaliza kubwa ni ya 8 unategemea tutaingia top 4 next season?kwa wachezaji hawa ?kocha huyu?misimu miwili mfululizo top 6 hajafika hyo top 4 atafikaje?Fuc**** Arsenal
Acha kupanic wewe, kawaida sana kwa aseno hiiMODS delete hili jukwaa halina maana tena kwa sasa!nawaageni goodbye forever sababu hatuna cha kuongea kwa sasa
Your words marked. Waleta ngonjera na waleteUEFA champions league Finalists wamemalizia game Zao nyumbani.
UEFA Europa league Finalists wanamalizia game Ugenini.
Mark my words
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
MKUU USILIE, TUTAKUSAIDIA KUKUPIGIA MWANAUME WAKO HUYU KWENYE FAINALI NA KOMBE TUTABEBA. NADHANI UTAFURAHI SANA KOMBE KUBAKI UINGEREZA.Ivi arsenal ni lini mtafurahisha mashabiki wenu? Sisi washabiki wa arsenal kila siku huzuni tuh mpk lini? Yaan game ya leo imeniuma kinoma bç tuh. Ivi wachezaji awawezi kucheza kufa na kupona kabisa ? Why? Najuta kuwa shabiki wa arsenal. NAJUTA!
Duh!Kila kocha ameishamsoma mwenzake, anaingia uwanjani kwa kukamia, Nina hakika villareal watatumia dakika 30 za kwanza kutafuta goli, it is during this moment tunawapiga mbili za haraka haraka. To be safe lazima tuwapige tatu, kwa sababu wakipata away goal, shughuli itakuwa ngumu.