Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huko walipotoka mbona walikuwa wana ubora?Torreira Pepe Gabriel Tierney Xhaka Leno Partey hao wote huko walipotoka walikuwa bora sana why wamekuja kufia viwango vyao Arsenal?
Ubora ktk level ipi kaka? Pili haya hao unao waita bora wakiumia kuna akina nani mbadala? Leno aliumia tukampanga yule dogo matokeo yake tukala nne,huku akiruhusu goli la kizembe alilo fungwa na Mahrez,Tierney nae huyo aliumia mbadala wake nani?

Kama Kroenke hasipo acha ubahili tukitumia mawazo yako sisi kila siku tutakuwa tunawapa lawama makocha na kuwatimua ambacho mimi sikubaliani nacho.
 
Kocha anatumia formation ambayo tangu nianze kushabikia Arsenal haijawahi kutumiwa na yeye ndiye kaanza nayo leo siku ambayo anataka ushindi.

Say hello to 4 1 4 1
 
Aisee poleni sana nyie KONDOO kwahiyo msimu ujao ndio hakuna cha UEFA wala Europa. Kweli mnataka kucheza fainali alafu shuti on target kwa dakika tisini ni 1 tu
 
Narudia kukwambia ukiachana na Kroenke Arteta ametumwa kuja kuikandamiza Arsenal kiuthamani na mambo yote yale miaka 26 Arsenal haijawah kukosa nafasi ya kucheza michuano ya ulaya ila kwa Arteta tunaendelea kuhesabu dk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…