Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jana Everton alikua na odds 7 na wameshinda sisi odds 6+ tutarajie ushindi? Siyo kwa kiwango hicho Carlo ni experienced kocha kuliko Arteta recently amekua akibadilisha formation mid game na inampa matunda.

Game na Man U alianza na 4 3 1 2. Baada ya break akamaliza na 4 2 3 1 akasawazisha goli maisha yakaenda. Jana alianza na 5 3 2 baada ya break akamaliza na 4 2 3 1 akajiondokea na ushindi.

Wakati mwingine inabidi kumuamini kocha kuliko hata wachezaji. Mashabiki wa Spurs na Chelsea ndicho wanachofanya siku hizi.

Juzi nilisema kuna wachezaji baada ya style mpya za nywele na kiwango kikapotelea huko, Sterling alikua anafuga dread game ya juzi nikaona kaondoa sijui bleach ya Gabriel inasubiri nini.

Bado hatupo favored kushinda. Historically City hajawahi kua kibonde wetu in such hata enzi za udhamini wao wa Thomas cook haikua timu ambayo tuna uhakika wa kuipiga kila tunapojisikia. Katika kukutana nao wao ndiyo wamepata ushindi mkubwa.

Washawahi kutupiga 6 kwa 3. Isipokua sisi tushawahi kuwapiga 5 mara mbili. Kwa City hata historia haitubebi kinachotubeba ni maneno ya kocha kwamba "Arsenal tulipofikia tunaweza kuifunga timu yoyote lakini na sisi tunaweza kufungwa na timu yoyote"

Hivyo basi kama Spurs, Chelsea na Everton inabidi tumuamini kocha kuliko wachezaji.
 
Jana Everton alikua na odds 7 na wameshinda sisi odds 6+ tutarajie ushindi? Siyo kwa kiwango hicho Carlo ni experienced kocha kuliko Arteta recently amekua akibadilisha formation mid game na inampa matunda.

Game na Man U alianza na 4 3 1 2. Baada ya break akamaliza na 4 2 3 1 akasawazisha goli maisha yakaenda. Jana alianza na 5 3 2 baada ya break akamaliza na 4 2 3 1 akajiondokea na ushindi.

Wakati mwingine inabidi kumuamini kocha kuliko hata wachezaji. Mashabiki wa Spurs na Chelsea ndicho wanachofanya siku hizi.

Juzi nilisema kuna wachezaji baada ya style mpya za nywele na kiwango kikapotelea huko, Sterling alikua anafuga dread game ya juzi nikaona kaondoa sijui bleach ya Gabriel inasubiri nini.

Bado hatupo favored kushinda. Historically City hajawahi kua kibonde wetu in such hata enzi za udhamini wao wa Thomas cook haikua timu ambayo tuna uhakika wa kuipiga kila tunapojisikia. Katika kukutana nao wao ndiyo wamepata ushindi mkubwa.

Washawahi kutupiga 6 kwa 3. Isipokua sisi tushawahi kuwapiga 5 mara mbili. Kwa City hata historia haitubebi kinachotubeba ni maneno ya kocha kwamba "Arsenal tulipofikia tunaweza kuifunga timu yoyote lakini na sisi tunaweza kufungwa na timu yoyote"

Hivyo basi kama Spurs, Chelsea na Everton inabidi tumuamini kocha kuliko wachezaji.
Mnajua kujifariji
 
Sisi kama man u
Maisha hayaa hayatabiriki. Leo hii tunamtakia arsenal ushindi
Arsenal kwasasa hana sumu, hata akishinda haishtui sababu hana anacho gombea.

Ikitokea akashinda (kwenye mpira chochote kinatokea) itakua utamu zaidi.

Arsenal niko pamoja na nyinyi leo.

#ILA MKIFUNGWA MIMI SIPO#
 
Back
Top Bottom