Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
City kashawapiga so subili round ya pili tukuoneSio kweli Chief, kwa kasi ya jana tuliyoanza nayo isingekuwa uzembe wa Xhacha tulikuwa tunashinda mechi.
Hata hivyo sio kwamba tunaowezo wa kuifunga Everton mechi I kayo bali hata timu yako pendwa tutaifunga next game na kubeba points zote 3
Mkuu mbona imani yako kwa chama letu la Arsenal imeshuka namna hiyo??
Unadhani ninyi Liverpool hamkupitia kipindi kigumu ambacho sisi tunapitia now, kwanini Arsenal iwe hivyo??
Come on Buddha, hiki ni kipindi cha mpito tu. Its not our permanent level. Level yetu unaijua na ndiyo tunapambana kuirudia.
timu bora n ile timu inayokupa matokeo, unaniambia VP unawachezaji bora kuliko wangu ikiwa hakuna forward yako inayomzidi zouma kwa magoli ya kufunga🚮Fanya analysis ya kikosi chetu mchezaji mmoja mmoja dhidi ya kikosi chenu cha Chelsea kwa mchezaji mmoja mmoja, utaona namna ambavyo tulivyowazidi.
Sisi sio level yenu Chief
Kwa hapo hakuna timu ambayo inaweza kufungwa na Arsenal.Kwaa hili linalowakabili, labda Mungu afanye miujiza ,unless otherwise hamtoboi game hata Moja
View attachment 1649598
Mkuu mbona imani yako kwa chama letu la Arsenal imeshuka namna hiyo??
Unadhani ninyi Liverpool hamkupitia kipindi kigumu ambacho sisi tunapitia now, kwanini Arsenal iwe hivyo??
Come on Buddha, hiki ni kipindi cha mpito tu. Its not our permanent level. Level yetu unaijua na ndiyo tunapambana kuirudia.
timu bora n ile timu inayokupa matokeo, unaniambia VP unawachezaji bora kuliko wangu ikiwa hakuna forward yako inayomzidi zouma kwa magoli ya kufunga
Acha masikhara yako chief, yaani unaifananisha Arsenal na Sunderland? What a jokeKumbuka Sunderland yalimshinda nasasa yuko ligi daraja la 3 huko.
Sasa hapo kigeni nini Chief? Anayeongoza ligi ametuacha almost point 13 ambazo ni mechi 4 maximum. Kwenye ligi ya EPL unaweza kuta tukatoboaKazi kubwa za mshabiki ni mbili tu, kushangalia na kuzomea.
Hili linafanyika bila kujali kwamba unaowazomea wako kwenye hali uliyopitia au utakayokuja kuipitia. We enjoy the moment.
Najua hamtashuka daraja, lakini kuwaza eti mkirekebisha vitu mtaingia top 4 ni kichekesho Cha muda wote.
Timu gan hapo Arsenal anaweza kuifungaKwa hapo hakuna timu ambayo inaweza kufungwa na Arsenal.
Mkuu nategemea mechi yetu ya Jana uliiona kabla Xhaka hajapigwa red cardCity kashawapiga so subili round ya pili tukuone
Kila nikiangalia Next game sioni Kama mnaweza kutoka na Point 3
Saton ni wakali,bora ukutane hata na Man utd, sio hao viumbe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 We unadhambi aiseeeCastr huwa anawashauri watu wa aina yako kuanzisha YouTube kwa ajili ya kufanya comedy.
Hii post yako ni zaidi ya comedy
Uko sahihi chief, mapungufu ya timu yetu yanajulikana. And I hope management inayafanyia kazi kwani ikitokea timu ikashuka daraja hata wao itawathiri kwani wanalipwa mishahara na bonus kutokana na performance ya timu.Mkuu hata New Castle ilikuwa timu kubwa na ilishuka daraja. Msipochukua hatua madhubuti mtashuka Asenane nyie.
Sasa hapo kigeni nini Chief? Anayeongoza ligi ametuacha almost point 13 ambazo ni mechi 4 maximum. Kwenye ligi ya EPL unaweza kuta tukatoboa