Upinzani wa jadi kwa Spurs na Arsenal ni wa moto kuliko hata kwa Chelsea.Anaweza mbona, nakumbuka Morinho miaka ya nyuma aliwahi kusema timu ndogo Kama Spurs ni ya kufundishwa na makocha wadogo wadogo, lakini leo hii yeye ndio kocha mkuu wa Spurs.
Na ukichunguza kauli yake ilichagizwa na hili hili joto la upinzani wa jadi Kati ya Spurs na Chelsea
Ujue wewe sometimes unakua kama unaandikia watoto.Wapinzani wetu wakubwa ni mabingwa wa UCL Bayern, Barcelona, Madrid. London yote hakuna level yetu kwenye ushindani wa aina yetu.
Hahaha nilikushauri ufungue akaunti ya komedi youtube. Bro utapiga pesa ushangae.Mzee we elewa wapinzani wetu wa kimpira ni mabingwa wa UCL. Hata mabingwa wa Europa pia tunawahesabia sio wapinzani wetu. Tuheshimu levels za kipinzani.
Chelsea mpinzan wake ni Fulham jpo Derby yeny vurugu upnde wa Chelsea ni na West ham vs ChelseaUpinzani wa jadi kwa Spurs na Arsenal ni wa moto kuliko hata kwa Chelsea.
Halafu Chelsea mpinzani wake ni Fulham kuliko hata hao wawili.
Si unaona Adebayor anavyosahauliwa na Arsenal kwa kwenda Spurs wakati Cole kwenda Chelsea siyo big deal sana.
Yea. Terry alionyeshwa alama ya dole la kati na baba yake siku chelsea anacheza na west ham halafu akascore akawa anashangiliaChelsea mpinzan wake ni Fulham jpo Derby yeny vurugu upnde wa Chelsea ni na West ham vs Chelsea
Arsenal na spurs kihistoria ndo derby kubwa kwa London
Coz wote wantok north London
Chelsea yeye akichez na spurs au arsenal inkuw derby kubwa sababu ya hizi timu kuwa kubwa ila kiuhlsia ilbd Chelsea na Fulham
Ushindi wenu kwenye hii game ni sareVs Chelsea 2 - 0 na Leicester 3 - 0.
Next Wednesday tunaye Tottenham, tutashinda pia.
Hizo game hazikupi picha sahihi ya uwezo wa Tottenham, ingawa hiyo siyo sababu ya kuamini kuwa atachukuwa ubingwa.Mimi niliamini hivi
View attachment 1646966
Na bado naamini hivyo. Hizi short term tournaments timu yeyote inaweza shinda. Tottenham alipigwa na Royal antwerp akasuluhu 3 3 na ludogorets.
Kuna andazi linasema Arsenal kacheza na kindergarten. Maajabu yake anayemuamini kuchukua kombe alipigwa na kusuluhu na hao kindergarten.
Fungua akaunti ya youtube ya komedi upige pesa
Prophets of doomToo early to start celebration when almost every team has played 11 out of 38 games. I strongly believe things will shortly change. Those at the peak of celebration will eventually be filled with despondency.
Sa hivi wako kama kimya ngoja washinde vigemu viwili au vitatu muone makelele yao
Ushindi wenu kwenye hii game ni sare
Wewe hauna imani na tottenham una imani na mourinho. Arsenal aliongozwa na Rapid Vien kocha akaokoa jahazi tottenham alivyoongozwa kocha akajaribu kuokoa jahazi ila nini kikaendelea?Hizo game hazikupi picha sahihi ya uwezo wa Tottenham, ingawa hiyo siyo sababu ya kuamini kuwa atachukuwa ubingwa.
Kwa marcel bielsa sawa anaweza akawa anafanya hvyo tena tokea alipokuwa championship na hata KWA sasa premier league baada ya kuja...lkn huo utaratibu czani km umewahi kufanywa na makocha wengine wa epl ....We kubali umetoa boko tu. Mzeee...yaan unauliza starting eleven game kati ya spurs na arsenal asubuhi yaaan asubuhi ..hahaaahaaaa hii kitu ni mpya walaiWewe unanipa pole???
Kama nilivyosema hapo awali kubishana na wewe kupoteza brain cells bure tu.
Maana hata kuelewa huelewi, pengine sijajua labda ni utoto.
Kwa sasa siwezi kuendelea kubishana na wewe, siku ukikua kifikra tunaweza kujadiliana.
Angalia Kama hapa, umeshindwa kabisa kung'amua hiyo case ya Marcelo Bielsa imetumika kama mfano hai wa ku-nullify hiyo argument ya awali kuwa uingereza hakuna utaratibu wa kutangaza starting IX masaa 24 kabla ya mechi. Lakini wewe kwa uwelewa wako finyu umeshindwa kabisa kufanya logical connection iliyopo hapo na kuona tuko nje ya context.
Dude your argumentation chain is extremely fvked up, no more words for you.
Joined 2020 JulyKwa marcel bielsa sawa anaweza akawa anafanya hvyo tena tokea alipokuwa championship na hata KWA sasa premier league baada ya kuja...lkn huo utaratibu czani km umewahi kufanywa na makocha wengine wa epl ....We kubali umetoa boko tu. Mzeee...yaan unauliza starting eleven game kati ya spurs na arsenal asubuhi yaaan asubuhi ..hahaaahaaaa hii kitu ni mpya walai
Bob ni kwamba siyo sheria kwamba kutangaza kikosi kuwe saa moja kabla (na huu ndiyo utaratibu timu nyingi - siyo zote - wanautumia) mfano RB Leipzig wanatangaza kikosi wakiwa tayari kwenye dressing room dakika 45 kabla ya game.Kwa marcel bielsa sawa anaweza akawa anafanya hvyo tena tokea alipokuwa championship na hata KWA sasa premier league baada ya kuja...lkn huo utaratibu czani km umewahi kufanywa na makocha wengine wa epl ....We kubali umetoa boko tu. Mzeee...yaan unauliza starting eleven game kati ya spurs na arsenal asubuhi yaaan asubuhi ..hahaaahaaaa hii kitu ni mpya walai
My gooner please don't waste your brain cells to that obviously deranged pigheaded schlemiel.Bob ni kwamba siyo sheria kwamba kutangaza kikosi kuwe saa moja kabla (na huu ndiyo utaratibu timu nyingi - siyo zote - wanautumia) mfano RB Leipzig wanatangaza kikosi wakiwa tayari kwenye dressing room dakika 45 kabla ya game.
Kuna siku Arsenal tukiwa Europa hatukuona kikosi insta mpaka tulivyoingia uwanjani. Nafikiri ndiyo siku ambayo Insta ilionekana Luiz yupo nje ila kwenye mechi akacheza.
So mdau alipouliza kikosi muda ule kuna namna ambayo jibu lako lingeonyesha kua huo siyo utaratibu kwa hizo klabu. Sasa ulivyopinga ndiyo imekua vita ya kila mmoja kumuona mwenzake hajui mpira.
My gooner please don't waste your brain cells to that obviously deranged pigheaded schlemiel.
Wewe ka mtu mwanzoni kamesema eti hicho kitu hakipo duniani tena kwa kujiamini, haya sasa hivi kwenye comment yake hapo kanasema "sidhani Kama imewahi" ina maana kumbe anabisha tu lakini hana uhakika na anachokibishia, Sasa huyu mtu ni mzima kweli!?
Ñdio maana nikaseama tatizo ni utoto na Kama sio utoto basi ana kichaa.
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Ilianza komenti hii au ilianza komenti ya kusema Kai mmepigwa?Aisee mpaka leo dully na genge lake wamekimbia