Labda wawepo Mustafi 3 kule nyumaNgoja tuwapigeni bao 7, ndio hiyo Arteta out ita noga zaidi.
Labda wawepo Mustafi 3 kule nyumaNgoja tuwapigeni bao 7, ndio hiyo Arteta out ita noga zaidi.
Exactly,wamerelax sana wanasubiri end of the season ndio waanze kupambana,game ya Leicester wote walitakiwa walaumiwe ulikuwa ni utoto uleAt this moment mambo ya formation yananichosha tu wachezaji wajitambue wajue fans tunataka nini that's it
Formation zimepangwa mara kwa mara ila matokeo mabovu sababu ya wachezaji wenyewe kutojua wanataka nini
Tatizo wachezaji wetu hawawi katika nafasi ambazo mmoja akiwa na mpira ataweza kumpa mwenzake.At this moment mambo ya formation yananichosha tu wachezaji wajitambue wajue fans tunataka nini that's it
Formation zimepangwa mara kwa mara ila matokeo mabovu sababu ya wachezaji wenyewe kutojua wanataka nini
Labda wawepo Mustafi 3 kule nyuma
Hii game nyepesi sana, ila forwad yetu ndio shida imekuwa butu kuliko kawaida
Sasa hivi ukisema formation hii inafaa au haifai ni kupoteza muda tu mechi 3 za mwisho tumefunga goli 2 pekee na kufungwa 3 inasikitisha sanaHii game nyepesi sana, ila forwad yetu ndio shida imekuwa butu kuliko kawaida
Tumeifunga man goli mbili kwa bila mwaka 2019.Lini wewe ulimfunga Man utd away? Lini? Haya ebu danganya tuone.... 2015 au?View attachment 1617008
Unaongelea kastori ka karne ya ngapi?Kwani tulipo wapigeni 8 Mustafi alikuwepo?
Acha kumuangushia jumba bovu mwana (mustafi)
Nyinyi ni tawi letu, nijambo la kukubali tu.
Unaongelea kastori ka karne ya ngapi?
Maana mpya ni 13 za Ajax, 7 alizopigwa liva, 6 alizopigwa man na 5 alizopigwa baharia wa mjini.
Striking force imenishangaza sana msimu huu, hata shot on goal imekuwa kizaazaa,game ya leo nataka nione km mwalim analiona hilo tatizo😁😁Tatizo wachezaji wetu hawawi katika nafasi ambazo mmoja akiwa na mpira ataweza kumpa mwenzake.
Mnawapiga washamba hao ligi za wakulimaSiku hizi tunapiga nyingi nyingi chunga yasikukute.
Mkuu jamaa anaongelea kumfunga OTTumeifunga man goli mbili kwa bila mwaka 2019.
Xhaka akipiga shuti ambalo lilikata kona likiwa linamfuata david.
Kumbukumbu zinaniambia Ile siku tulivaa jezi za ugenini. Nimecheki online nimekuta kwamba tulishinda mbili bila ndiyo ila ilikua emirates. Hii screenshot yako ina uongo mwingi hapo.
Nimeghairi. Mwanzo nilisema tunashinda mbili ila sasa hivi ni nneLeo tunazindu G9 pale OT.
Yea na ndo mi nilichosema kwamba nilijibu vile kwakua kumbukumbu zangu ni Arsenal ilishinda ikiwa na jezi za ugenini ila nimeshaona ilikua ni Emirates.
Ni shida. Mi ningekua kocha ningewapa majukumu Partey na Xhaka kupiga mashuti wakiwa nje ya 18Striking force imenishangaza sana msimu huu, hata shot on goal imekuwa kizaazaa,game ya leo nataka nione km mwalim analiona hilo tatizo😁😁
Kwa mpira tunaocheza sitashangaa tukiwa na 0 on target hadi half Time may be wachezaji wajitambue,mpira tunacheza vizuri sana (Excellent)tatizo ni creativity kwenda third half kwa mpinzani (hili ndio tatizo kubwa kubwa)Ni shida. Mi ningekua kocha ningewapa majukumu Partey na Xhaka kupiga mashuti wakiwa nje ya 18
Screenshot hiyo ni wewe ukiwa away. Sijachukua kwa ujumla coz mimi nilileta mada kwamba nyie mkiwa away against big teams mnakuwa utopolo.Tumeifunga man goli mbili kwa bila mwaka 2019.
Xhaka akipiga shuti ambalo lilikata kona likiwa linamfuata david.
Kumbukumbu zinaniambia Ile siku tulivaa jezi za ugenini. Nimecheki online nimekuta kwamba tulishinda mbili bila ndiyo ila ilikua emirates. Hii screenshot yako ina uongo mwingi hapo.

