OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Asee Rashid Makame hatowaacha salama ..labda tuwape Mendy maana ndo anamjulia vizuri Rashid, huyu Leno mmh hapo kuna goli za wazi za RashidKama tulimfukuza Ozil sababu ya dini kama wengine (wanavyodai ila wengine wanasema hakabi )tujiandae kwa msiba haiwezekani mechi 4 tumefungwa 3 ni laana zinaanza kutuandama kama Ozil huko kwake anasoma dua na Mungu akapokea that's why mechi 4 tumecheza 3 tumepoteza
Kati ya Ozil na Willock nani anatakiwa aachwe kabisa?mhhh(fact iwepo)
Nikimuwaza Rashford na Cavani Mamamae labda twende Sumbawanga tukasaidie kutafuta mababu wabobezi![]()

