Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Kweli mkuu??Huwezi kuwa bingwa kama huwezi kuwafufunga mabingwa.
Kwahiyo najipa false hope???
DullyJr Unamsikia huyu jamaa wa liver???
Kweli mkuu??Huwezi kuwa bingwa kama huwezi kuwafufunga mabingwa.
Hapa sasa umesemaBTW, ni maoni yangu, chochote kinaweza kutokea mkaingia top 4 au kuchukua ligi kabisa.
Sahihi, nikikumbuka Leeds walivyowafanyia Liverpool ni shida 🙌
Hapa sasa umesema
Mkuu Don Clericuzio,Hahaha, washabiki hatutakagi kuambiwa ukweli kwamba timu zetu ni mbovu.
Ila kiukweli msimu huu hakuna timu superior kuwazidi wenzake.
Nikifanya ranking:
Top tier nawaweka City, Liverpool, Man Utd na Chelsea.
Second tier nawaweka Leicester, Everton, Tottenham, Arsenal.
The rest kama Leeds, Wolves, Shefield, Crystal Palace na wenzake wote nawaacha chini.
Ukiangalia teams ambazo ziko kwenye same tier, anyone can top it (IMO).
Kutoka tier 2 kwenda tier 1 ndo nasubiri kuona hayo maajabu.
Ni maoni yake, na anao uhuru wa kufanya hivyo.... Maoni sio sheria.....
Bado ni maoni yake sio sheria, tier1 ipo timu inayopigwa 7 na 6 na hao wa tier za machokoroni!Mkuu Don Clericuzio,
Tier yoyote ambayo ita 'involve' Chelsea na Man utd this season can't be a Top tier.
, na haioneshi kama hao jamaa walibahatisha maana tunaona muendelezo wao

Mkuu Don Clericuzio,
Tier yoyote ambayo ita 'involve' Chelsea na Man utd this season can't be a Top tier.
Ndio wanaoongoza kwa disturbance lakini ndio wa kwanza kujitetea wakipewa lawamaFans wengi wa arsenal Ni disturbance kwa thread nyingine za timu pinzan endapo wamepoteza point,,,, !!!
Aston Villa 🙌🙌Leeds! Sema Aston Villa mkuu.
Boss mpaka sasa Top 4 haielewiki,sisi tupo nafasi ya 10 lakini Everton anayeongoza ligi katuzidi points 4 tu,Halafu kibaya zaidi mapaka sasa hamna timu yenye uhakika na consistence ya kushinda match after match,Ni maoni binafsi.
Kwa hiyo tier one zibaki Liverpool na City, Man Utd na Chelsea tuwashushe tier 2?
Nimeweka tier 1 iwe na timu 4 in a sense kwamba tutatafuta top 4 kwa ajili ya uwakilishi UEFA.
Tulia wewe, nani asiyefungwa?Ndio wanaoongoza kwa disturbance lakini ndio wa kwanza kujitetea wakipewa lawama
Hahahahah daa mkuu nimecheka sana kwa hii comment yako, wana wanavyo snitch Arsenal utadhani team zao ni bora vile!Basi kwa jinsi mlivyo hapo utakuwa unachamba huku umeshikilia kijora, pindo la chupi linaonekana![]()