Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal wanaangalia uwezekano wa kusaini mkataba na Donyell Malen, 21, kutoka klabu ya PSV Eindhoven, miaka mitatu baada ya kumuuza mshambuliaji Muholanzi kwa thamani ya £540,000. (Soccernews, via Star)
_115041150_c9c2b451-4ad9-4b0e-a097-6a127e89f6a6.jpg
 
Pale kakutana na viungo dhaifu.
Haimaanishi kua hajui, anajua, lkn ni wakawada tu, huwezi mlinganisha na mtu kama Fred.
Sion hata sababu ya kukujibu ,huyo Fred wakati tunawapiga 2-0 , Kocha akiwa Areta si mlimpanga ....
 
Mm nakereka sana , watu wana criticise timu ili Partey ionekane usajiri wa ovyo haukuwa na umuhimu ....

Mm nasema twende kwa Dominic Szoboslai , kuliko Aouar

Hata Takwimu hapo hapo Ligue 1 , Aouar hazimbebi , binafsi simuhitaji

Twende na Dominic Szoboslai wa RB Salzburg , Linapiga magoli ya kila Aina , limekamirika sana , linauzwa £25m
Mimi nahisi ni chuki binafsi tu, nahisi naweza kuiunganisha na kitu japo siwezi sema hapa. Msimu wa kusajili ukiisha, unafanya kazi na wale ulionao, unaachana na speculation zilizokuwepo.

Sasa hadi leo mtu yupo na Auour tu, wakati tayari tunaijenga timu vizuri. Hata hivyo wachezaji wengi(sio wote) wanaotokea ufaransa/league 1 wakija EPL wana flop tu.
 
Hector Bellerin now has 4 assists in 7 games! Taratibu naona anarudi kwenye form yake na anarudi taratibu kuwa among the Best RB in PL

ACL injury yake ilimrudisha nyuma sana
IMG_20201023_103358.jpg
 
Tatizo la Leno ana masihara anapoanzisha mipira, even when the opponent players are congested in his area, bado anapenda kuanza mipira na mabeki katika maeneo hatarishi
Na ndio mpira kocha anataka uanzie kwa kipa , sema awe makini kwenye pass accuracy
 
LENO ANAJIFUNZA KITU KIPYA

Hatujacheza high line mechi nyingi hivo tukicheza tegemea leno kuwa vile nilichopenda haogopi anacourage ataimprove,

Cha ajabu kuna mashabiki kukosea Jana tayari wameanza kusema kwann Arteta alimuuza Martinez ,

Kwa Mara a kwanza Jana Leno alikuwa anasogea juu kabisa , ni aina mpya ya mpira Tuliocheza Jana....

Leno atabaki kipa anayeaminika chini ya Arteta ....
Kuna baadhi ya mashabiki wenzetu ni tatizo kubwa sana,Yaani hata hawaelewi 'human errors' katika football sometimes are unavoidable.
 
Kuna baadhi ya mashabiki wenzetu ni tatizo kubwa sana,Yaani hata hawaelewi 'human errors' katika football sometimes are unavoidable.
Hilo nalo ni tatizo kwakweli

Mimi siwez lalamika kumuuza Emi hata mara moja
- Leno was always number one

- Emi basically forced his way out. He wanted game time na sisi hatukuwa na utayar huo

- Hatuwez tema karanga kwa bigijii ya kuonjeshwa

- form is temporary class is permanent

- Emi needed to prove himself somewhere else

Namkubali sana Emi , kila siku naangalia kapost nini, mech za Astonvilla napenda kuangalia ili nimuone tu,

But Siwez kumshushia heshima Leno ,
 
Arsenal x Adidas x Pharrell Williams

Arsenal’s iconic ‘bruised banana’ shirt has been reimagined with a ‘paint-bleed effect update’ & features hand-painted crests & manufacturer logos, with the word ‘Humanrace’ replacing sponsors. #afc
IMG-20201023-WA0012.jpg
IMG-20201023-WA0013.jpg
IMG-20201023-WA0010.jpg
IMG_20201023_114651.jpg
 
Hiyo sio hoja, hicho ni kiroja.
Kwahiyo kwa kuwa umetufunga na Fred akiwepo basi Fred ni mbovu (wa kumfananisha na huyo sijui chapati)
Sion hata sababu ya kukujibu ,huyo Fred wakati tunawapiga 2-0 , Kocha akiwa Areta si mlimpanga ....
 
Back
Top Bottom