DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Kwanza unaanzaje kumzungumzia mchezaji ambaye sio wetu?Mkuu huyo Aouar wa nini ? 4-4-2 ndio kocha kaanza kuitumia Leo,
Elneny chin , Partey juu na nafasi katengeneza ,kazi kapiga
Partey ni muhimu kuliko Aouar
Thomas Partey’s full debut
102 Touches
90% Pass Completion
100% Tackle Success
100% Dribble success
4 Aerial Duels won
1 Clearance
1 Interception
1 Key Pass
Most tackles won
Most aerial duels won
Fantastic debut.
Mimi nilishukuru huyo jamaa kutokuja arsenal, mchezaji wa kifaransa anayecheza league one ni wa kuogopa kama ukoma, kamari yake ni ya SGR,Huyu Lacazette hajawahi kuwa ktk kiwango chake tulichokitegemea anacho toka tumsajili,yupo kama Danny Sserunkuma tu alivyokuja simba,
Giroud, chamakh, the same stories ,
Pepe and Saliba wana mtihani mpaka muda huu hatujui kama tumetia sukari ziwa victoria ama nini?
Linapokuja suala la usajili ni bora kusajili mchezaji anayeng'aa championship au san marino kuliko farmer league especially their home grown players ni



Mifano ni mingi chelsea wanalia na Bakayoko, Manchester city wanalia na mendy, united wanalia na bishoo martial, yule ferlan mendy kule madrid bado anasugua bench kwa kibabu marcelo, na sisi chupuchupu tupigwe kwa Thomas Lemar 90m,sasa hivi tungekuwa tunajisonyasonya kama tunaita paka,
Mara mia ya Emmi Bueńdia, Toddy Cantwelly, Brooks, Benrahma, kuliko huyo aour walikuwa wanataka kutupiga na edu na Arteta wamestukia michezo, Arsenal hii sio ya kupigwa,
Tule mtori, nyama tutazikuta tu



Introducing your MOTM tonight... 
#UEL 



games 
assists