Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kikosi cha city kipana kukosekana kwa kevin siyo guarantee ya ushindi kwa Arsenal. Wakati wanafungwa tano na Leicester, Leicester haikujiandaa kwa kutarajia kevin hayupo.

Na kwetu inatakiwa iwe hivyo. Mipango yetu isihofie kuwepo au kutokuwepo kwa mchezaji fulani wa timu pinzani.

Pamoja na upana wa kikosi chao, bado sijaona mtu wa kuyafanya anayoyafanya De Bruyne akiwa uwanjani.. Kama kuna yeyote unaemfikiria mtaje.

KDB ni mmoja kati ya wachezaji waliotengeneza chance nyingi za mabao tangu msimu wa 2019/20.

Hakuna namna ya kutojivunia kutokuwepo kwake, tayari game imekuwa nyepesi zaidi ukilinganisha na mentality iliyopo mwanzo.

Unaweza kukataa lakini ukweli ndio huo.
 
Pamoja na upana wa kikosi chao, bado sijaona mtu wa kuyafanya anayoyafanya De Bruyne akiwa uwanjani.. Kama kuna yeyote unaemfikiria mtaje.

KDB ni mmoja kati ya wachezaji waliotengeneza chance nyingi za mabao tangu msimu wa 2019/20.

Hakuna namna ya kutojivunia kutokuwepo kwake, tayari game imekuwa nyepesi zaidi ukilinganisha na mentality iliyopo mwanzo.

Unaweza kukataa lakini ukweli ndio huo.
Kuhusu kutengeneza chances ni kweli.

Point yangu ni kwamba timu yetu ifikie level ya kwamba ushindi uwepo haijalishi mtengeneza chances nyingi yupo au hayupo.

So kesho kevin akiwepo timu yetu ikifungwa utaona ni halali kisa kevin yupo?
 
We are the best team in London & it’s not even up for debate... London is red & always will be!
IMG_20201016_185646.jpg
IMG_20201016_185641.jpg
 
Mzee wa kumwekua mwekua Kitoabu em tupumzishe kidogo na arsenal yetu,

Vipi Mozambique salama lakn?,Maana nasikia Kuna majanga.
Poa tambeni na timu yenu, lkn mujue simba hata awe mzee vipi huwezi mchezea sharubu.

Kweli kwa sasa chama langu lina mbwela mbwela, lkn sio mpaka shabiki wa Arsenal8 anitambie.

Ubanguni (mocambique) majanga hayaishi, yatakiwa uwe na roho ya chuma kuhimili utafutaji wake.

Akina Aly mbambe wana kinukisha mitaa ya macumia, wilaya ya tatu kutoka niliko.
Kiufupi tunawangoja tu, sijui kama watafika ama vipi.
 
Arteta on Xabi Alonso:

"Since we were 7 or 8 years old we've known each other. We played together from a club that was in our region in San Sebastian, then we were neighbours when he was playing for Liverpool and I was at Everton."
IMG_20201016_191641.jpg
 
Back
Top Bottom