Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Huyu wa VAR sijui atakumbuka kumuangalia Pepe? Last season tumenyimwa penati za kutosha baada ya Pepe kupiga chenga mabeki nao wakamtega akaanguka lakini marefa wakapeta. Kama sikosei tumenyimwa penati si chini ya nne. Angepiga mbili Auba angekuwa top scorer na angewaachia mbili Pepe na Laca wangeongeza confidence. Mawazo tu.OFFICIAL:
Chris Kavanagh ametangazwa kuwa muamuzi wa kati atakaye simamia Sheria 17 za mpira wa miguu kwenye mechi kati ya Manchester CityArsenal siku ya jumapili.
Stuart Attwel atakuwa akisaidizana na teknolojia ya V.A.RView attachment 1598629
Watu wengne mapenz yao kwa Xhaka yamezd aseee....Elneny karud kweny ubora...#Respect ElnenyElneny amecheza games 2 na liva. Moja tukachukua ngao ya pili tukafungwa 3.
Siku ile nilikuuliza yeye kapiga pasi hizo wenzake wamepiga ngapi?
Arteta alikuepo siku ile lakini alimtoa Xhaka kwanini hakumtoa Elneny?
The whole team crumbled siku ile na haikua kosa la Elneny au nani. Unahisi Arteta alikua chizi alivyomuacha Elneny?
Baada ya game ile na liva kati ya Xhaka na Elneny nani alianza mechi iliyofuata?
Hivi upo serious kumbe mi nilijua unatania
Mara ya kwanza nasema Elneny kiungo mzuri nilipingwa. Sasa hivi tupo tunaoona ni mzuri tupo tunaoona anatakiwa aongeze juhudi. Ila kuna mmoja kasema huyu jamaa ni kiazi.Watu wengne mapenz yao kwa Xhaka yamezd aseee....Elneny karud kweny ubora...#Respect Elneny
Mchezaji Bora wa Epl since 2000s to 2010s ni Thierry HenryUkikutana na plastic kutoka chelsea hatasita kukuambia hajawahi kutokea mchezaji hatari kama Drogba na EPL nzima hajawahi kuwepo. Sasa twende polepole;
Henry alishinda kombe la UCL 2009 alichangia magoli 8, 6 alifunga katika hatua ya mtoano. Drogba alipata UCL 2012 akachangia magoli 8, 4 tu ndiyo alifunga katika hatua ya mtoano.
Henry ana jumla ya magoli 58 ya kuamua ushindi kwenye ligi ya EPL, Drogba ana magoli 31.
Pia Henry amechagia magoli 64 dhidi ya timu za Top 4 EPL + Hatua ya mtoano kwenye UCL, wakati Drogba ana 41.
Tangu Drogba afike Chelsea mpaka anaondoka ana jumla ya magoli 20 dhidi ya top 6 wakati Henry ana magoli 24 dhidi ya Liva, Man U na Chelsea pekee. Hapo hujamhesabia waliobaki.
Henry amefunga magoli 20+ mara nne katika EPL wakati Drogba amefunga magoli 15+ mara mbili tu.
Drogba amejinyakulia kiatu cha dhahabu pale EPL mara mbili. Henry amechukua kiatu cha dhahabu mara NNE.
Henry amepata tuzo ya Player of the Season mara 2 na katika tuzo za Ballon D'Or amefika kwenye tatu bora mara mbili. Drogba hapa hana chake.
Kimataifa Henry ameshinda kombe la dunia 1998 na kua France top scorer na 2006 akatoboa mpaka fainali. Bwana Drogba hapa hana kitu pia aliishia hatua ya mtoano mara tatu zote alizonusa kombe la dunia.
Nipe mkuuGuys nipo mtandao fulan unaitwa hitwe kuna mtu anajisikia kutaka namba ya msichana muda huu?
Kakimbia. Eti ananiambia nimtumie elfu moja mpesa ajiunge kifurushi cha sms. Nikamuambia unatafutwa na DullyJr ππ akakimbiaNipe mkuu
Huyu jamaa ni brazamen ila anapiga kazi balaa
Kakimbia. Eti ananiambia nimtumie elfu moja mpesa ajiunge kifurushi cha sms. Nikamuambia unatafutwa na DullyJrakakimbia
Mwinginemanga wa buku
Kweli leo siku ya mvua, umeamua kurusha mambo yetu huku!Mwingine
NisameheniKweli leo siku ya mvua, umeamua kurusha mambo yetu huku!
πππ hii mvua kweli imekutoa kwenye football imekupeleka kwenye kusaka joto ππ. Anyway, AMW (Arsenal, Money and Women) that's the motto. ππMwingine