Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuhusu Zaha, sioni kama anaweza kuufikia uwezo wa Pepé hata kidogo..
Umeuona moto aliouwasha Pepé baada ya kuingia sub dhidi ya Sheffield?

Pepe ni bonge ya player, skills zake kwa pale Epl sioni wa kumfananisha naye, bado vitu vichache hajakaa sawa ila kwa Arteta ni suala la muda tu.

Watu wanamsakama sana, labda ni ile price tag yake na pia tulikuwa na matarajio makubwa sana juu yake. Kwa msimu wa kwanza tena chini ya Emery stats zake bado ni za kuvutia sana, vijana wanasemaga "tuendelee kupiga mtori, nyama zipo chini"
 
Kama huu msimu tungekuwa na Ramsey naona kabisa katika idara ya kiungo tungekua imara Mara mbili yake,

Partey ni mtu na nusu atatusaidia sana katika kukata umeme pale Kati,Ni wakati sasa wa ceballos na xhaka kutuonyesha ubunifu wao pale Kati,

Saka napenda kumuona akipata mechi nyingi ili azidi kupata uzoefu zaidi ila unfortunately nitakua namuona kwenye carabao na FA maana mfumo utakua haumpi priority ya kucheza mechi nyingi za league.
 
Ozil to be left out of the official Premier League squad?

Arsenal have to exclude 2 senior non home grown players...surely he has to be one? #arsenal #afc
Huyu Ozil ingekuwa ni kura nadhani fans wote wange vote against his favor.

Last season he played and no one cared about him, this time around he doesn't play and people care even less.
 
Contracts set to expire summer 2021:
Ozil 350,000 per week
Luiz 101,000 pw
Sokratis 92,000 pw
Mustafi 90,000 pw
Total wage saving approx 633,000 pw, 32,916,000 pa

Summer 2022 (if we don't sell before expiry):
Laca 182k
Kola 100k
Elneny 50k
Chambers 50k
Approx 19,864,000 pa

#afc
 
Pepe ni bonge ya player, skills zake kwa pale Epl sioni wa kumfananisha naye, bado vitu vichache hajakaa sawa ila kwa Arteta ni suala la muda tu.

Watu wanamsakama sana, labda ni ile price tag yake na pia tulikuwa na matarajio makubwa sana juu yake. Kwa msimu wa kwanza tena chini ya Emery stats zake bado ni za kuvutia sana, vijana wanasemaga "tuendelee kupiga mtori, nyama zipo chini"
Swadakta
 
Kama huu msimu tungekuwa na Ramsey naona kabisa katika idara ya kiungo tungekua imara Mara mbili yake,

Partey ni mtu na nusu atatusaidia sana katika kukata umeme pale Kati,Ni wakati sasa wa ceballos na xhaka kutuonyesha ubunifu wao pale Kati,

Saka napenda kumuona akipata mechi nyingi ili azidi kupata uzoefu zaidi ila unfortunately nitakua namuona kwenye carabao na FA maana mfumo utakua haumpi priority ya kucheza mechi nyingi za league.

Nianze na Ramsey, kusema ukweli jamaa sio calibre ya wachezaji Arsenal wanaowahitaji ndio maana aliruhusiwa kuondoka bure plus umri nao ulimtupa mkono.
Naweza sema alikuwa na bahati ya kupendwa hasa na Arsene Wenger, thus why tumemshuhudia akipata more game time lakini kiukweli kwa upande wangu kwa sasa Ramsey asingekuwa na nafasi pale Arsenal.. Labda angeongeza tu squad depth.

Ujio wa Partey kama ilivyoelezwa na jamaa mmoja huko juu, anatoa option nyingi za kimfumo.. DMF pia ni Box to Box! Anashambulia vizuri na ana skills.. Yani tutafaidika kwa mengi kutoka kwake.
Ujio wake pia unanipa furaha zaidi kwa sababu nitaweza kumshuhudia Ceballos akicheza AMF nafasi anayoipenda, maana huyu kijana ana vitu vingi vya ku-offer kwetu kwenye hiyo position.. Kwangu kukosekana kwa Houssem Aouar sio kitu! Nilitaka sana ujio wa Thomas kuliko Aouar.

Kuhusu Saka, nimetokea kumpenda sana huyu kijana. Mwanzoni sikuamini sana uwezo wake..
Nimegundua huyu dogo anaweza sana kuhold mipira (yaani anaficha vizuri mpira kwenye miguu yake kiasi kwamba ukiuchukua tu basi ujue umecheza rafu) pia ana quick foot (anaweza fanya maamuzi ya haraka papo kwa papo).
Japo itakuwa ngumu kwake kuanza ila naamini atapata muda.
 
Contracts set to expire summer 2021:
Ozil 350,000 per week
Luiz 101,000 pw
Sokratis 92,000 pw
Mustafi 90,000 pw
Total wage saving approx 633,000 pw, 32,916,000 pa

Summer 2022 (if we don't sell before expiry):
Laca 182k
Kola 100k
Elneny 50k
Chambers 50k
Approx 19,864,000 pa

#afc

Ukiangalia huo mzigo wa mshahara kwa hao players ambao next summer wanamaliza contracts zao, utaona kuwa next season tutakuwa na nafasi ya kuongeza watu zaidi.

Kuna jambo moja very positive watu hawaliongelei kabisa, Arsenal pamoja na kutokuwa Uefa wachezaji wengi vinara wameonesha kuipa chaguo la kwanza against other big clubs tena zinazo shiriki Uefa.

Aouar-PSG, City na Madrid wote walimtaka ila first choice kwake ilikuwa kuja Arsenal.
Gabriel-Napoli na Man U lakini akachagua Arsenal.
Willian-Chelsea, Barcelona, Inter Miami na Utd but he opted for us.
Ceballos-Madrid (walitaka apiganie namba), Inter, Real Betis na Napoli lakini kaamua kurudi Arsenal.
Auba-Chelsea, Barca, Madrid lakini kaamua kuongeza contract.
Lacca pia Barca, Atletico na Juve but he opted to stay.

Kuna vitu 'behind the scene' ambavyo fans hatuvioni players wanaviona kuhusu Arsenal, aliyetudengulia leo kesho atarudi analia kama unabisha muulize Sanchez.
 
Thomas mmepigwa
77229debff594184b57de6dc1f3f4009.jpeg
 
Simeone about Partey:


"Thomas is more vertical, Rodrigo more horizontal. Thomas gives the team more direction, I put him in and they killed me for not putting in Rodrigo. He is a great player, but Thomas, when he manages to maintain consistency and balance. He has everything"
IMG_20201006_131519.jpg
 
Hiki kimependekezwa nadhani kiko poa sana hata Liver na City tunapambana nao kwa 4-3-3 bila shida na wakikaa vibaya wanachakaa.View attachment 1592040
Naona ni timu kali kwa sababu Willian na Pepe wote ni wapiga chenga ingawa Auba siyo mchengaji sana ila si haba anauwezo. Kama Ceballos atakuwa anaweza kucheza pasi za upesi upesi za ki tiki taka ningependa kuona tukiimarika zaidi kwa kushambulia kati kati ya eneo la 18 kuliko kutegemea sana full back kuoverlap na kupiga cross maana naona timu zimetuzoea kuwashambulia kwa pembeni. Turudi enzi za kina Fabregas, Pires, Rosicky, Henry, Bergkamp...yaani quick passes na through balls mara paap mtu amejikuta na kipa na mabeki wanajiuliza tumepenyaje. Na kwa hii ningependa kuona ongezeko la wafungaji ili move ikiwa nzuri yeyete yule itayemkuta anaweza kumalizia. Hapo tutakuwa wagumu zaidi kukabwa. Tusitabirike.
 
Hiki kimependekezwa nadhani kiko poa sana hata Liver na City tunapambana nao kwa 4-3-3 bila shida na wakikaa vibaya wanachakaa.View attachment 1592040

kaka hatuwezi kupanga hivi timu

there is a genuine reason why AUBA anacheza wing,

1.kumbuka ana more than 50 goals akiwa left wing - at least 20 goals per season nyingi aki curve nje ya box

2. mpira wetu tuna press na CF, ambae anakuwa part of front three DIAMOND (partly anakuwa kama false number 9) anakaba sanaa hawezi kupata goli 20 kwa msimu sahau

3. Tunatengeneza timu ya kucheza 4-3-3 system ambayo ni kama copy ya LIVERPOOL (magoli yanatokea wings)

4. Lacazette anatupa Balance sana kwenye timu, mara kadhaa AUBA kacheza CF ila ni watu wawili tofauti ikija issue ya PRESSING the opponents na HOLD UP play



wenger, emery, arteta wote sio wajinga kuanza nae wing tutakosa balance kbs akicheza CF anaweza kuwa BULLIED
 
kaka hatuwezi kupanga hivi timu

there is a genuine reason why AUBA anacheza wing,

1.kumbuka ana more than 50 goals akiwa left wing - at least 20 goals per season nyingi aki curve nje ya box

2. mpira wetu tuna press na CF, ambae anakuwa part of front three DIAMOND (partly anakuwa kama false number 9) anakaba sanaa hawezi kupata goli 20 kwa msimu sahau

3. Tunatengeneza timu ya kucheza 4-3-3 system ambayo ni kama copy ya LIVERPOOL (magoli yanatokea wings)

4. Lacazette anatupa Balance sana kwenye timu, mara kadhaa AUBA kacheza CF ila ni watu wawili tofauti ikija issue ya PRESSING the opponents na HOLD UP play



wenger, emery, arteta wote sio wajinga kuanza nae wing tutakosa balance kbs akicheza CF anaweza kuwa BULLIED
Ulichokisema ni sahihi 100%, hayo yalikuwa ni mapendekezo alitoa Aaron huko juu na sioni shida, bado unaweza kuwatwist Willian akawa false 9 au Lacca akaanza kama CF, Auba akatokea kushoto na kulia akacheza Willian/Pepe.

Hata kwa Xhaka, Partey na Ceballos bado unaweza twist au ukaingiza mtu mwingine pia kulingana na opponent na mahitaji ya game. The same is true for back four pia.
 
Arsenal wamejibu ,Hawajamfukuza kazi bali atarud mashabiki watakaporudi


Msemaji wa Arsenal anasema

“Gunnersaurus is not extinct and will return to action when fans are allowed back at matches.”
IMG_20201005_103223.jpg
 
Back
Top Bottom