gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,942
- 6,133
Kuhusu Zaha, sioni kama anaweza kuufikia uwezo wa Pepé hata kidogo..
Umeuona moto aliouwasha Pepé baada ya kuingia sub dhidi ya Sheffield?
Pepe ni bonge ya player, skills zake kwa pale Epl sioni wa kumfananisha naye, bado vitu vichache hajakaa sawa ila kwa Arteta ni suala la muda tu.
Watu wanamsakama sana, labda ni ile price tag yake na pia tulikuwa na matarajio makubwa sana juu yake. Kwa msimu wa kwanza tena chini ya Emery stats zake bado ni za kuvutia sana, vijana wanasemaga "tuendelee kupiga mtori, nyama zipo chini"

Aouar-PSG, City na Madrid wote walimtaka ila first choice kwake ilikuwa kuja Arsenal.